TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

PoliCCM wanatumia nguvu nyingi ssna kuwaua raia wasiokuwa na hatia. Wakiua watu wakaisha wataongoza wanyamapori.
 
Makao makuu ya Jeshi la polisi yapo Tanganyika, waziri WA mambo ya ndani ni mzanzibar. Anaishi na kuzaliwa unguja.
Tunalindwa na nani sisi raia na Mali zetu?
Yule Waziri aliitws kwenye interview na media flani hapa akaulizwa kuhusu watu kutekwa na kupotea.
Kikubwa alichosema hakuna hayo matukio watu wanazua taharuki kwa kuwa Mama anauburuza mwingi.
Mawaziri wa namna hii hata huyo Mama kuendelea kua nao haimsaidii
 
Yule waziri ,wizara imemshinda.
Samia anayafurahia haya mambo.
Naanza kuona bora utekaji wa kipindi cha magufuli. Nilijua mwiulu mchemba ndio wazuri mbovu wa mambo ya mdani kuliko wote waliopita kumbe nilikuwa najidanganya.
Kwa hio Masauni ajiuzulu au mpaka achomolewe kinguvu?
 
Watanganyika Kuna mahali upstairs hatuko sawa, watu 60 million tunalindwa na 1.5 million?
 
Masauni ajiuzulu au achomolewe kinguvu?
 
Mtu ametekwa na Polisi, tena ndani ya basi, watu ikiwemo CDM wamepiga kelele kuhusu kutekwa kwa mtu huyo na kutaka Polisi waseme yupo wapi lakini Polisi wakawa kimya, leo anapatikana chumba cha maiti halafu wewe unakuja kuilaumu CDM? Hivi unajisikiliza na kujielewa kweli?
 
Inasikitisha, kama Mungu yupo, kuwa CCM ni tiketi ya moja kwa moja kwenda motoni, hawa watu hawana utu wanachowaza ni dola tu, na hiyo dola sio kwa maslahi ya nchi bali kwa maslahi yao binafsi na ufisadi, Mungu amlaze mahali pema, na hayo ndio matunda ya kizazi walichokilea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…