TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Hili ni la kwanza kabisa tatizo ukiwashinda nguvu wanakugeuzia kibao na utafunguliwa kesi ya kuzuia mamlaka kufanya kazi yake (kumbuka kesi ya Zakalia wa Tarime) na wakikudhiti ndio yanatokea kama haya ya Kibao;
tupo zaid 40m vs wao ambao hawafiki hata 15m , je wao na majengo yao mahakama watatuweza ?
 
Hii sio mara ya kwanza, Mbowe alikuwa na kesi ya ugaidi wa kulipua vituo
vya mafuta na ushahidi juu yake.

Ndio msingi wa kuwa gerezani mpaka huruma wa Samia kumtoa kabla ya kwenda mahakamani.

Akaja na 4r zake haya ndio malipo yao.
Kuna wakati Utumie Akili Ndugu yangu si Kila wakati tuwe na Mindset za kipuuzi namna hii..

Mimi ni CCM kabisa lakini haya Mambo siyasupport kabisa na Naliomba Jeshi la Polisi Lishughulikie haya mambo vinginevyo tutaanza kuishi kwa Kuogopana
 
Hivi mtu kama huyu kachukuliwa hatua gani?
Six5b0TZWlBbGx71.jpg
 
Kuna haja ya kubadili Sheria za umiliki wa silaha ili Kila mwananchi mwenye akili timamu atembee na silaha kama ilivyo marekani ili kupambana na Hawa askari.Mzee kama huyu ambaye Hana madhara yeyote kiusalama wamemuua!yaani kosa tu kuwa mpinzani ndiyo unauliwa?
Hii ni mbaya sana na ina impacts za hatari sana ,ni vile tu watu wanachukulia poa haya mambo , mtu anaweza kuwa na chuki binafsi na wewe na akaenda kuleta wahuni wakakuteka na kukumaliza kwa kujiita polisi au usalama ,hii ni loophole ambayo itatuangamiza sana
 
Mods wacheni tutoe ushauri na tahadhari ili kama wana masiko, basi na wasikie.

Wiki kama mbili zilizopita, yule dada maarufu anaeshi nchini marekani, aliandika katika mtandao wa X makala ndefu ila yenye maneno makali na matusi mazito juu ya kiongozi fulani kiasi yanayoendelea hapa nchini.

Nilikuwa nasoma na kusisimka, ila kwa tukio hili la leo, siwezi kusisimka tena hata aandike nini.

Nimalizie kwa kusema , kwa haya yanayoendelea, huyu dada sitashangaa akaja na makala nyingine mbaya zaidi na akapata uungwaji mkono mkubwa zaidi.

Washauri, mna uhakiki hii itasaidia na zaid mnaona mnamsaidia Bosi wenu au ndio mnazidi kumuharibia?

Kwa nature ya binadamu, mimi naona matukio haya yatawafanya watu wawe majasili zaidi na sasa waone hawana tena cha kupoteza.

Mtambue kuwa, kadri wengi wanavyoumizwa, ndio wengi zaidi huona na wao sasa hawana cha kupoteza na wanazidi kujawa na hasira. Hivyo, hii mbinu mnayotumia, ni sawa na kumwaga petrol kwenye moto ulionza kuwaka.

Pia, kwa haya yanayoendelea, hata mkiomba serikali ya huko aliko imrudishe nchini, inaweza kumuona kama ni mtetezi wa watu badala ya mhalifu.

Anyway, Mungu ana makusudi na kila jambo.
salary nitupie inbox andiko la huyodada (nimemjua bahati mbaya sikupata andiko hilo)
 
Hii ni hatari Magufuli ambaye ndiye utekaji huu ulifanyika sana kindi chake....huyu samia sijui anachukuliaje haya mambo
Hii ndio 4R za Samia za kurithi utekaji?

Dr. samia Mama yangu embu ona haya mambo kwa jicho la kibinadam
Kweli siasa ndio igharmu uhai wa mtu kwamba ndio adhabu anayostahili?

Tutakwenda kujibu nini kwa Allah?
Leo Magufuli yuko wapi?


Pumzika Kwa Amani Ally Kibao.
 
Kwa yanayoendelea humu nchini kwa sasa ni obviously hata mimi ninaweza tengeneza kikosi cha kuteka watu huku nijiita polisi au usalama , na hao watu naenda kuwafanyia blackmail , kuwang'oa viungo ,kuwaua au kudai ransom Kwa ndugu na jamaa ili huyo mtu aachiliwe .
Hii ni disaster ,hii tabia ilipamba moto kipindi cha awamu ya tano na huu ni mwendelezo ,subhuman species wanaongoza hili taifa
 
Yule waziri ,wizara imemshinda.
Samia anayafurahia haya mambo.
Naanza kuona bora utekaji wa kipindi cha magufuli. Nilijua mwiulu mchemba ndio wazuri mbovu wa mambo ya mdani kuliko wote waliopita kumbe nilikuwa najidanganya.
Tuweke mambo sawa, ili ukweli upatikanike. Tusianze kuacha vipande. Utekaji ulianza na JK, kwangu mimi mtu wa kwanza kutekwa alikuwa Ulimboka, alinyofolewa kucha na kukatwa vidole akatupwa msitu wa Mwanapandwe kule Bagamoyo. Kuanzia hapo walitekwa wengi. Je ni kikao kipi cha CCMau cha Serikali kilihalalisha haya mambo? Hapa ukweli utakuja kujulikana. Inaelekea ni mwendelezo wa mambo lakini muasisi wa haya mambo yupo, JKyupo, yule TISS wa JK yupo na IGP yupo, na Mkuu wa Majeshi. JK alinyamaza, JPM alinyamaza, huyu naye kanyamaza, ila vitendo vinakuwa vya kikatili zaidi. Inaelekea wanaofanya hivi wamepewa ridhaa.
 
Back
Top Bottom