TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

👊💪tupo pamoja gentleman,

nakubali kupingwa kwa hoja, but why all this at a time of chadema elections?🐒Jeshi la polisi liko wapi? Usalama je? Intelijensia yoote inakubali vitendo hivyo vitapakae nchi nzima?..vipi zile Task Force? Zimelala?
 
Katika hali yoyote ile, Waziri wa mambo ya ndani ya nchi kuendelea kuwa ofisini hadi muda huu ni dharau na kejeli kubwa kwa Watanzania.

Mkuu wa Polisi pia afanye maamuzi magumu japo sioni kama ni magumu, yeye kuendelea kuwa katika nafasi hiyo pia ni aibu kwake na mzigo mzito.

Tunaelekea wapi kaka taifa? Sijui!
Kaka hapa wakutuokoa tu ni Mungu, Mungu mwenyewe mpaka atake yeye mwenyewe, amekuwa mgumu sana wa kuchukua maamuzi, ni kama Shetani anataka kumzidi nguvu...sio kwamba nakufuru lakini najaribu kuwaza.
 
Katika hali yoyote ile, Waziri wa mambo ya ndani ya nchi kuendelea kuwa ofisini hadi muda huu ni dharau na kejeli kubwa kwa Watanzania.

Mkuu wa Polisi pia afanye maamuzi magumu japo sioni kama ni magumu, yeye kuendelea kuwa katika nafasi hiyo pia ni aibu kwake na mzigo mzito.

Tunaelekea wapi kaka taifa? Sijui!
Kwani yule DC wa Longido (muda mchache kabla ya kuenguliwa) alihitimisha vp?
 
Daa hatari sana, yote haya kwa ajili ya kungangania madaraka .

Ss siku ya uhuru wa Tanganyika tunasherekea ya nini
 
Kwani yule DC wa Longido (muda mchache kabla ya kuenguliwa) alihitimisha vp?
Nina mashaka makubwa na haya mambo, Rais anapaswa kusimama kama anataka kulinda taswira yaka na serikali yake.

Haya matukio ni lazima yachunguzwe na watu wajulikane na wawajibishwe.

Zile kauli za kujinadi wazi kuiba uchaguzi pengine kuna watu wanataka kuchafua taswira yake na serikali yake. Akinyamaza asiposema lolote au kuwajibisha watu, basi tutabaki na mtazamo wa walio wengi kuwa wanauliwa kwa upinzani wao jambo ambalo linaweza lisiwe sahihi.
 
First they came for the socialists, and I did not speak out—because I was not a socialist.

Then they came for the trade unionists, and I did not speak out—because I was not a trade unionist.

Then they came for the Jews, and I did not speak out—because I was not a Jew.

Then they came for me—and there was no one left to speak for me.

—Martin Niemöller
 
Yule waziri, wizara imemshinda.
Samia anayafurahia haya mambo.
Naanza kuona bora utekaji wa kipindi cha magufuli. Nilijua mwiulu mchemba ndio wazuri mbovu wa mambo ya mdani kuliko wote waliopita kumbe nilikuwa najidanganya.
Kikubwa mlimtukana sana, sasa ni muda wa kula matapishi yenu kwa aibu😂
 
Tatizo sio JPM na wala sio Samia. Tatizo ni mfumo, haya yote yalitokea na yanaendelea kutokea kwa sababu ya mifumo chini ya serikali ya chama cha kijani na wapo kimya. Inasikitisha sana sijui kama taifa tunaelekea wapi kama serikali inashindwa kuhakikisha raia wake wanakuwa salama.
Ikumbukwe marehemu mnaemvisha lawama hajawai kufuta sheria za wasiojulikana kutoshtakiwa. Aliyebadilisha sheria kuwaondolea kinga wale jamaa wa upande ule anafahamika.😂
 
Kwa kweli hii Serikali ya sasa ni aheri hata ya wakatiwa Magufuli. Japo kulikuwa na utekaji na mauaji ya wanasiasa, lakini hayakufikia kiwango hiki. Shetani ameweka makao ya kudumu kwente Serikali ya awamu hii. Kusipofanyika kitu, hawa watu wataendelea kuua Watanzania kama vile wanavyouawa kuku.

Mungu wa mbinguni tunaomba atusaidie, uovu huu ambao haya mashetani yanatenda dhidi ya wanadamu wengine, ukawarudie na wao mara 2 zaidi.
Bado hamjasemaa 😂😂😂
 
Back
Top Bottom