TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Nimekuelewa.....

#Tanzania ni lazima ibaki na mentality za hovyo ni lazima ziondoke[emoji7]

#Mwenyezi Mungu mhifadhi rais mh.Samia na malengo yake bora aaamin aaaamin [emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Angekuwa mtoto wake, mtu wake wa karibu asingechukua hatua?
Mbn kachukua hatua yaan hadi mkuu wa nchi kuongea hadharan kuagiza vyombo vya ulinzi vilete ripot ya uchunguz wa hivi vtu unaona c hatuq? Ile ni order hapa inatekelezwa , tatzo ilikuw mwanz wa matukio kama hya mhe. Alikuw hajaongelea haya mambo ila haina maana kuw alikuw kmy au alikuw amefumba macho hapan lazma hko ndan na vyomb vya ulinzi walikuw wakiyaongelea masuala yote ya usalama na mienendo nchin, na katika uongoz c kila jambo lazma ulizungumze ingali bado liko bichi kuepuka kulikuza instead inatakiw n kulifanyia kaz in silent kuepuk taharuki, haya mambo ad kufka hatua raisi kuongea hyo n hatua kubwa sana kuichukua
 
Mh
Kama MTU anatekwa Katikati ya mji, kitovu cha Nchi! Anauwawa na mwili wake unatupwa Jirani tu hapa, je tuko salama kama Nchi?? Who's next? Tunajuaje usalama WA VIONGOZI wetu kama upo? Ununio na magogoni sio mbali, ununio kuna VIONGOZI wakubwa Sana wanaishi huko, je usalama wao ukoje?? Haya wacha tuone who's next....
Mh! Na wewe kuhofia usalama wa viongozi Ununio unamaanisha viongozi wa serikali au wa vyama vya upinzani? Kama viongozi wa serikali hawawezi kutekwa kama wanaenda sawa na serikali ondoa hofu!
 
MTAZAMO WANGU;
Naona ingefaa Waziri wa Ulinzi/Mkuu wa Majeshi,angechukua hatua, kwasababu hii ni dalili/ishara ya kuwa nchi/Taifa haliko salama,na maadui wakuu ni genge la polisi na hawa wanao jiita usalama wa taifa,ambao kiuhalisia ni usalama wanasiasa.
sahihi kkuu ila kuna siku moja utasikia raia
 
1. Jeshi la polisi linaajua watekaji.
2. Ofisi ya DPP wanawajua watekaji.
3. TISS wanawajua watekaji.
4. CCM wanawajua watekaji.
Watekaji ndio wauaji.
IMG-20240908-WA0020.jpg
IMG-20240908-WA0021.jpg
 
Tulipofikia ni kubaya no one is safe,kila mtu ajiandae kwa lolote. Huyu Mzee damu yake ipo mikonon mwa watesi wake.Inaumiza sana sana kafa kifo cha mateso mno.Roho yake isipumzike mpaka waliomuua kikatili nao wafe kama nzi.Btw napata mashaka na kina Soka si ajabu nao wameshayeyushwa kwenye acid😭😭😭
 
Tulipofikia ni kubaya no one is safe,kila mtu ajiandae kwa lolote. Huyu Mzee damu yake ipo mikonon mwa watesi wake.Inaumiza sana sana kafa kifo cha mateso mno.Roho yake isipumzike mpaka waliomuua kikatili nao wafe kama nzi.Btw napata mashaka na kina Soka si ajabu nao wameshayeyushwa kwenye acid😭😭😭
Inasikitisha sana yaani
 
Hivi hapa Jf najua lazima TIss wawe washa jipenyeza ndani ya mfumo humo ofisini ..taarifa zetu usalama wake ukoje ? Je mods wana weza ku access taarifa zetu ? Maxence Melo
 
Mbn kachukua hatua yaan hadi mkuu wa nchi kuongea hadharan kuagiza vyombo vya ulinzi vilete ripot ya uchunguz wa hivi vtu unaona c hatuq? Ile ni order hapa inatekelezwa , tatzo ilikuw mwanz wa matukio kama hya mhe. Alikuw hajaongelea haya mambo ila haina maana kuw alikuw kmy au alikuw amefumba macho hapan lazma hko ndan na vyomb vya ulinzi walikuw wakiyaongelea masuala yote ya usalama na mienendo nchin, na katika uongoz c kila jambo lazma ulizungumze ingali bado liko bichi kuepuka kulikuza instead inatakiw n kulifanyia kaz in silent kuepuk taharuki, haya mambo ad kufka hatua raisi kuongea hyo n hatua kubwa sana kuichukua
Umeeleka.
 
Huo uchunguzi alioagiza Samia mnadhani utakuja na nini zaidi ya kutudanganya kauwawa kwa wivu wa mapenzi.
Nchi imeoza (rotten to the core)
 
Back
Top Bottom