Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Sasa roho zao zimefurahi nafsi zao zimeridhika kukuona ukiwa mwili mtupu usio na pumzi,Hujawahi kuwatendea baya lolote,kosa lako ni kuwa mwanachama wa CHADEMA.
Tutakutana tena Mbinguni Kamanda.ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Tutakutana tena Mbinguni Kamanda.ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Eti mnazo dino nyie wauaji.Ijumaa,jmamos na jumapili mmejazana kwenye nyumba za Ibada huku roho zisizo na hatia zikiwalilia damu zao zikiwa mikononi mwenu ninyi wauaji.Pumzika kwa Amani Bao hakuna atakayeilinda Dunia Sote tunapita.