figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Alikuwa hakuvaa helmet?Habari Mbaya sana.
Askari Polisi wa Uslama Barabarani kagongwa huko Gongo la Mboto na kupoteza maisha hapo hapo barabarani.
Picha haitazamiki mara mbili kwani Ubongo upo nje.
Huwa aka yake anaitwa Mzee wa Busara.
Taarifa kamili watatoa polisi wenyewe.
Apumzike kwa amani.
View attachment 3258412
Mbona ni kama amejigonga nyuma ya hilo gari lililosimamaHabari Mbaya sana.
Askari Polisi wa Uslama Barabarani kagongwa huko Gongo la Mboto na kupoteza maisha hapo hapo barabarani.
Picha haitazamiki mara mbili kwani Ubongo upo nje.
Huwa aka yake anaitwa Mzee wa Busara.
Taarifa kamili watatoa polisi wenyewe.
Apumzike kwa amani.
View attachment 3258412
Subiri polisi wenyewe waje na visingizio vyaoAlikuwa hakuvaa helmet?
Daah!Duniani tunapita