Dar: Askari wa Usalama Barabarani kagongwa na kupoteza maisha

Dar: Askari wa Usalama Barabarani kagongwa na kupoteza maisha

Habari Mbaya sana.

Askari Polisi wa Uslama Barabarani kagongwa huko Gongo la Mboto na kupoteza maisha hapo hapo barabarani.

Picha haitazamiki mara mbili kwani Ubongo upo nje.

Huwa aka yake anaitwa Mzee wa Busara.

Taarifa kamili watatoa polisi wenyewe.
Apumzike kwa amani.
View attachment 3258412
Huwa aka yake anaitwa Mzee wa Busara
 
kumbe nao wanakufaga eeh , hatari faya aisee nilijua hawafagi hawa umbwa, pumbaf sana anatakiwa afe tena sheytwany kabisa , yaani siyapendi kabisa hayo matakataka yanaonea sana watu bila sababu.
Duh
 
Habari Mbaya sana.

Askari Polisi wa Uslama Barabarani kagongwa huko Gongo la Mboto na kupoteza maisha hapo hapo barabarani.

Picha haitazamiki mara mbili kwani Ubongo upo nje.

Huwa aka yake anaitwa Mzee wa Busara.

Taarifa kamili watatoa polisi wenyewe.
Apumzike kwa amani.
View attachment 3258412
Duh. Msiba mkubwa .
Aliyemgonga hajakamatwa ?!
Hili ni tukio la pili trafiki kugongwa na kufariki ndani ya jiji la Dsm!
Miaka kadhaa nyuma pia aliwahi kugongwa trafiki mwanamke na kufariki hapohapo!.
 
Back
Top Bottom