Watu wameshuhudia lakini hakuna hata mmoja alie eleza kilichotokea mnatuchosha wengi mnatunga hadithi kutokana na picha elezea sababu nn je aligonga au aligongwa dah watzAisee
Naona kagongwa na gari ya wanafunzi rangi ya njano,Sasa sijui hakuvaa helmet?Ukitoka nyumbani salama ukarudi salama mshukuru Mungu. Lolote linaweza kutokea muda wowote😥.
Alikuwa anaendesha pikipiki?
Naona kama kuna gari la njano pembeni.
Upo sahihi.Mbona ni kama amejigonga nyuma ya hilo gari lililosimama
Hapana kwenye picha halisi kichwani ubongo umemwagika inamaana si kujigonga bali kukanyagwa.Mbona ni kama amejigonga nyuma ya hilo gari lililosimama
Habari Mbaya sana.
Askari Polisi wa Uslama Barabarani kagongwa huko Gongo la Mboto na kupoteza maisha hapo hapo barabarani.
Picha haitazamiki mara mbili kwani Ubongo upo nje.
Huwa aka yake anaitwa Mzee wa Busara.
Taarifa kamili watatoa polisi wenyewe.
Apumzike kwa amani.
View attachment 3258412
Muosha huoshwa!maisha haya.mpimaji leo kapimiwa yeye
Oh sad na hiyo pikipiki ni ya kwakeHapana kwenye picha halisi kichwani ubongo umemwagika inamaana si kujigonga bali kukanyagwa.