Dar: Askari wa Usalama Barabarani kagongwa na kupoteza maisha

very sad! Ilikuwaje masikini
 
Huwa aka yake anaitwa Mzee wa Busara
 
kumbe nao wanakufaga eeh , hatari faya aisee nilijua hawafagi hawa umbwa, pumbaf sana anatakiwa afe tena sheytwany kabisa , yaani siyapendi kabisa hayo matakataka yanaonea sana watu bila sababu.
Duh
 
Duh. Msiba mkubwa .
Aliyemgonga hajakamatwa ?!
Hili ni tukio la pili trafiki kugongwa na kufariki ndani ya jiji la Dsm!
Miaka kadhaa nyuma pia aliwahi kugongwa trafiki mwanamke na kufariki hapohapo!.
 
Alikuwa anaendelea hiyo Piki piki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…