Dar city cleaning services smartest in East Africa and Central

Kizungu ndio nini we mchuchu kirashia, kipoland, kiitalia, kireno, kijerumani, kifaransa, kihispaniola, au? Sababu hao wote ni wazungu that shows how lowlife you are
Kwahivyo mjerumani anaongea kizungu? Mfaransa pia? Acha kuvuta hiyo kitu bana. Kunywa maziwa! Si lazima uchape ung'eng'e ndo uonekane mjanja mbele ya wakenya, jielimishe kwanza mbumbumbu wa mwisho kati ya mavichwa boga wote wewe.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
siku hizi unaishi kigali?...nairobi umehama lini?.

dar vs nairobi + kigali....[emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
pitia comments zote mpaka mwisho kisha uone upumbavu wako ulipofikiaπŸ˜€πŸ˜€
 
We pimbi kiswahili fasaha ukisema "mzungu" umemaanisha European not even American, ndio mana kinaitwa kiingereza original from England. alafu eti nionekane mbele ya nanii? You stupid bastard piece of shit nani ana muda?
 
Da! Mtu akisha kuwa na Chuki nawe haishi Vijisababu
ukichezea maji lazima ata lalamika wamtimulia vumbi

Kwa taarifa yako Id ya MOTOCHINI ndio Id mpya kabisa humu Jf
Sijafungua Id mpya zaidi ya hii toka 2014

Mbona mada nzuri tu
ndugu yetu kaleta Habari jikite kwenye Mada wacha kujadili Id ya mtu
 
watz wenzangu tuwe na huruma kidogo kwa wakenya.

tuwe tunawapa mda angalau wa kufanya vitu vingine kwa ajiri ya nchi yao.

imefika wakati,tunawafanya wakenya wanakuwa pre-occupied na jf kuzidi kitu kingine chochote.

imagine kila wakiingia jf wanakutana na baadhi ya thread ambazo zinawabidi watumie nguvu kubwa ku-comment.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Dah! Hii povu yote ya nini? Yaani umeingia nayo sasa hivi tu au ndo povu ya pacha wako hapo juu imeingia na osmosis? Hehe! πŸ˜€
 
aisee hawa jamaa nimewakubali,game changer
 
aisee hawa jamaa nimewakubali,game changer
 
We pimbi kiswahili fasaha ukisema "mzungu" umemaanisha European not even American, ndio mana kinaitwa kiingereza original from England. alafu eti nionekane mbele ya nanii? You stupid bastard piece of shit nani ana muda?
Sasa ndo umekumbuka unajua kiswahili? Matusi na povu ndo zako? Hehe! Tulia kijana. Ukiambiwa tumia kiswahili, hujui kiingereza kama imeuma sana si inabidi uende tu English Medium? Mambo rahisi, acha stress!
 
unazungumzia cleaning company ama usafi wa mji? πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜›πŸ˜› kwa usafi, sorry mi natambua kigali tu...period
mambo yanabadilika mdogo wangu,that was then,mbona tukiongelea nchi inayoongoza kwa ugaid subsaharan hatuiweki Kenya?sababu it was back then
 
mambo yanabadilika mdogo wangu,that was then,mbona tukiongelea nchi inayoongoza kwa ugaid subsaharan hatuiweki Kenya?sababu it was back then
mambo ya ugaidi imetoka wapi sasa? smhπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€nashuku elimu yenu...kisha kenya haina ugaidi...somalia ndio kuna ugaidi...al shabaab ni wa wapi?...wewe boya nini?πŸ˜€πŸ˜€ there is no terror organization in Kenya..mfano, ISIS imefanya mashambulizi USA France na germany...sasa hizi nchi zinaongoza kwa ugaidi sio?πŸ˜€πŸ˜€
 
Mnajitekenya afu mnacheka wenyewe? Simtafute room basi, hapa kuna ma under 18. Afu andikeni kwa kiswahili tu hamna haja ya kujipa high blood presha mkilazimisha kizungu!
Tutafute room ili tukufanye nini mkuu?

Ujue kuna maneno kwa kiswahili yanakupa picha kali mno, ndiyo naipooza kwa lugha ya pili.
 
Sasa ndo umekumbuka unajua kiswahili? Matusi na povu ndo zako? Hehe! Tulia kijana. Ukiambiwa tumia kiswahili, hujui kiingereza kama imeuma sana si inabidi uende tu English Medium? Mambo rahisi, acha stress!
Safi sana kwa kuelewa somo langu kwa kutamka "Kiingereza" badala ya kizungu.

Jua zaidi

Fasaha tunaita Kiingereza sababu kiasili ni lugha ya England au kwa kiswahili Uingereza sio kizungu kama mlivyozoea akili fupi.
 
povu limekutoka kusikia ugaidi?ok lets say what happened inside westgate wasnt terror it was jst kids playing hide and seek,point yangu ni kwamba mambo yanabadilika tena kwa speed kubwa,yaani ikitokea siku Kibera ikawa th cleanest slum siwezi kataa maana najua mambo yanabdilika so does everythng
 
Reactions: Oii
rudi shuleni uitishe pesa zako...πŸ˜€πŸ˜€elimu mbaya maisha mabaya...kusema kenya ina ongoza kwa ugaidi ni ujinga...mbona USA kumekuwa na ugaidi hata zaidi ya Kenya ila hatuwez tukasema USA ni nchi ya kigaidi...
 
Dar kubwa lakini.... tunaomba na tupicha twa goms, rangitatu n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…