Dar Coach wazidi kushusha bei zao za uundaji body za mabasi

Dar Coach wazidi kushusha bei zao za uundaji body za mabasi

5d11a73ae3f4b54c3a942f0cb377d5f2.jpg
 
Haya kwa maelezo hiyo ni scania yenye chasis na engine ya bus pure F95HB310 , ina TV 7 full air condition , friji , USB charging system , hapo ni kwamba mteja anaenda scania Tanzania kununua chasis then anaipeleka dar coach kutengenezewa body anayoipenda kulingana na pesa yake.
 
Haya kwa maelezo hiyo ni scania yenye chasis na engine ya bus pure F95HB310 , ina TV 7 full air condition , friji , USB charging system , hapo ni kwamba mteja anaenda scania Tanzania kununua chasis then anaipeleka dar coach kutengenezewa body anayoipenda kulingana na pesa yake.
Chasis bei gani mkuu?
 
...Hivi bei wakiweka kwa TZS ndo hawataeleweka?
Inasaidia kumpunguzia machungu mzalishaji kwa kuwa anaagiza vitu vingi nje kwa usd! Ila ukienda na tsh yenye thamani sawa ya usd wakt huo unanunua, hili suala hata kwa wazalishaji wa sukari na majani ya chai wanalifanya sana, wanauza grade one nje ili kupata usd kupoza machungu ya kuagiza spea nje!
 
Nimeona hii kitu nikawa nafikiria bila kupata majibu yaani bus moja ni tshs.484milioni!? ASA utapata faida kweli!? Labda kama walikosea hizo figure
Hapana,hiyo bei ni ghali mno(485+m/-) lakini ni nafuu sana kwani bei ya Luxury Coach Scania inafika hadi 1bn/-!
Tajiri anayenunua Scania jipya hadi leo inabidi apewe heshima kubwa kupigiwa salute. Bei ghali mno.
 
Kwa upande wa Kenya?
6x2 hii ni terious yenye tairi mbili mbele na sita nyuma $103,000+ vat.

4x2 hii ina tairi 2 mbele na nne nyuma $ 90,000+vat.

Hapo ukinunua utatakiwa either ukaichongee body kwa builder wao walio mchagua ambae amepewa standards maana unapouziwa chasis lazima inakua na warrant kwa hiyo na wenyewe lazima wahakikishe body inakua na viwango
 
Ili kuwawezesha wazawa serikali ipige marufuku uingizaji wa mabasi kutoka nje, hizi za mchina iko kwenye lami inarukaruka utafikiri umepanda fuso la mchanga.
naamini serikali wanaona ushauri wako
 
6x2 hii ni terious yenye tairi mbili mbele na sita nyuma $103,000+ vat.

4x2 hii ina tairi 2 mbele na nne nyuma $ 90,000+vat.

Hapo ukinunua utatakiwa either ukaichongee body kwa builder wao walio mchagua ambae amepewa standards maana unapouziwa chasis lazima inakua na warrant kwa hiyo na wenyewe lazima wahakikishe body inakua na viwango
Mkuu hivi gari kuwa na matairi sita nyumba inakuwa na faida gani
Tofauti na kuwa na tairi nne???
 
Mkuu hivi gari kuwa na matairi sita nyumba inakuwa na faida gani
Tofauti na kuwa na tairi nne???
Tairi sita inaongezeko la abiria tofaut na tairi nne pia gari ya tairi sita nafasi ya kuwekea miguu inakua ni kubwa seat hazibani miguu, na gari ya tairi sita inakua na urefu wa mita 12.5-13.
 
Mkuu hivi gari kuwa na matairi sita nyumba inakuwa na faida gani
Tofauti na kuwa na tairi nne???
Pia kwenye mizani insaidia sana gari ya tairi sita haiwezi kuzidi ndo maana kina taqwa ,falcon wanazile Nissan diesel wamezipiga tairi sita na zina beba mizigo mikubwa sana mizani hazizidi.
 
Ili kuwawezesha wazawa serikali ipige marufuku uingizaji wa mabasi kutoka nje, hizi za mchina iko kwenye lami inarukaruka utafikiri umepanda fuso la mchanga.
Kienyeji hivyo?

Yaleyale ya bongo muvi.
 
Back
Top Bottom