Maneno ni mazuri sana, lakini wateja wanapenda zile body za kichina kwa muonekano wake. Wangejitaidi kuboresha muonekano wake bila ivyo ngoma nzito biashara ina ushindani sana.Hapo kinachofanya bei iwe juu ni chasis na engine ni vya scania F95HB310 ni engine ya kisasa inayotumia mafuta vzr kwa pungufu ya 30% ukilinganisha na zile scania 113 series, na zinadumu kwa muda mrefu ni tofaut na engine za kichina ambazo zikikaa miaka 2-3 lazima ubadilishe uweke mashine, gear box na difu ya scania
Dar coach ni kampuni ya kutengeneza body za mabasi inamilikiwa na wahindi wakati Dar exp ni kampuni ya usafirishaji ya Mzee Mremidar coach = dar express??
Hata dar coach anatengeneza basi kama ya mchina tuu havina tofaut labda teknolojia maana material anachukulia China kwa hiyo ukitaka yenye mwonekano wa kichina eg sitting configuration, air con na automatic door's ni hela yako nenda angalie dar exp zile crystal plate no T*** DBU ni imetengenzwa dar coach ila interior yake kama bus za mchina tuu, alafu watu wanachanganya China wao wanaunda body eg yutong, zhongtong au higer alafu chasis na engines zinatengezwa USA ni za cumminsManeno ni mazuri sana, lakini wateja wanapenda zile body za kichina kwa muonekano wake. Wangejitaidi kuboresha muonekano wake bila ivyo ngoma nzito biashara ina ushindani sana.
Tatizo wateja wengi wanapenda youtoung mchina
Mkuu huo utafiti wako umeufanya lini wa kuonyesha kuwa wateja wengi wanapenda mabasi ya kichina?siyo kweli kwani kwa sasa wateja wanapendelea sana mabasi ya scania japo hilo haliondoi ukweli wa mabasi ya kichina kupata abiria kwani ndiyo mengi yaliyopo sokoniManeno ni mazuri sana, lakini wateja wanapenda zile body za kichina kwa muonekano wake. Wangejitaidi kuboresha muonekano wake bila ivyo ngoma nzito biashara ina ushindani sana.
Tatizo wateja wengi wanapenda youtoung mchina
Upo sahihi kabisaMarcopolo Andare class kama za abood kwa sasa ni milion 689 ikiwa na chasis murua ya scania F95HB310 4x2
Kwa hiyo bei unapata Zhingtong 2 na moja unapewa kwa mkopoMarcopolo Andare class kama za abood kwa sasa ni milion 689 ikiwa na chasis murua ya scania F95HB310 4x2
Iyo akichonga atapanda yeye na family yake [emoji128]. Kwanza iyo itakuwa Eicher au UDA. Biashara ya magari sio biashara ya kitoto inataka mitaji na sio bei za kubembelezaa kuna watu wengi wameweka mitaji yao mikubwa katika izo biashara.Sio utani Mkuu, ukitaka nenda kachonge la kawaida kwa 120mil
Ndio na isitoshe hapa bongo kuna marcopolo zenye thamani ya milioni 900+ watu wanashangaa bei za dar coach ebu kaulizie bei ya marcopolo viaggio 1050 kama ya dar expressKwa hiyo bei unapata Zhingtong 2 na moja unapewa kwa mkopo
Ndio maana watu wengi wanakwambia ukitaka kuona maajabu ya Tanzania, njoo UBUNGO BUS [emoji591] TERMINAL.Kweli watu mpo gizani, hapa hapa Tanzania ubungo hapo kuna bus za milion mia 7 unasema bei hiyo? Hivi unafikiri zile Marcopolo za Abood na Hood walinunua sh ngapi? Milion mia 5 na kitu, ila guarantee yake ni miaka 10.. Msione vyuma vya watu vipo road mkachukulia poa! Unazungumzia faida? Unajua scania r au g mpya ya kwenye makaratasi inauzwa bei zaidi ya hiyo iliyotajwa kwenye haya mabus? Hapo ni horse tu hujagusa trailer? Hiyo ni bei ya kawaida sana Mkuu.
Wateja wa wapi? Mi naona wateja wa luxury wanapenda Marcopolo mixed na Scania. Useme hao wamiliki wamekalia michina kwahiyo wateja hawana uchaguzi. Unakumbuka Paradiso za scandinavia?Maneno ni mazuri sana, lakini wateja wanapenda zile body za kichina kwa muonekano wake. Wangejitaidi kuboresha muonekano wake bila ivyo ngoma nzito biashara ina ushindani sana.
Tatizo wateja wengi wanapenda youtoung mchina
hapana mkuudar coach = dar express??
asante sana mkuuMkuu we unaquote nin? Mbona wafanyabiashara wanasiasa ni wengi tu..abood..mbowe...manji...n.k..acha jamaa aeleze anachokiamini na uwe mvumilivu kusikia..kwasasa soma mazur ya dar coach
Kwanza mbali na yote Hongera kwa kumiliki biashara ya magari na kuwepo katika hii Mitandao ya kijamii, hasa hasa Jamii Forum. Maana wamiliki wengi wa magari wanakuwaga wapo nyuma sana na maswala ya technology na elimu pia. Swali langu je hii changamoto ya biashara upoje ukizungumzia upande wa serikali katika maswala ya kodi. Na vip? Kuhusu wateja wanapendelea mchina au ScaniaMkuu engine za kwenye bus nyingi yazo ni 90 series, mpaka sasa wanatoa hizi 95 mpya kama ambazo wamezitangaza kwenye huu uzi, kinachofanyika ni kile kile ingawa wengine wanasemaga mambo ya kubana pump ila kuchanganya haraka ni kwamba ile engine inaweza kubeba tani 15 mpaka 20 hivi, ila likipakia abiria na mizigo yao inakua na kama tani 8 au pungufu, so gari inakua nyepesi sana hata gear hazichukui muda kuchanganya!
Halafu kwenye roli mara nyingi tunafunga fuse ya speed, angalau kwenye 90kph, ikifika hapo inakata, ila kwenye bus wanaitoa hii so dereva anaendesha mpaka anagotesha mshale mwisho.
Halafu bus nyingi zinakua na gear 8au 10 wakati roli nyingi kubwa ukitoa hizo 90 series zinakua na gear 10,12, au 16 kabisa kwahiyo gari yenye gear nyingi hivyo mpaka ichanganye ni tofauti na huyu wa gear chache, hata ukianza kuzivua hizo gear kwenye mlima ni tofauti na dereva wa bus.
Kingine ni udereva tu Mkuu ndo unaleta huo udambwidambwi, mimi nina madereva ambao wanatoka kwenye maroli na kwenda kwenye mabus na wengine wanafanya viceversa, mfano nina madereva nilikua nao kwenye maroli ila saivi wapo Newforce, Hood, Imo na NBS,.. So hapo ni udereva tu.
Dereva wa roli hawezi kuendesha kama bus maana litamuua, kusimama na roli lilikua 100kph na mzigo wa tani 30 mgongoni ni ngumu ukilinganisha na bus la Abiria 55..
OTE="falcon mombasa, post: 20939960, member: 277389"]mkuu nashukuru kwa ushauri wako ila mimi sio mtu wa siasa kabisa pia mimi ni raia wa kawaida tu mkuu, serikali inapoteleza tunaikumbusha
YUTONG 4 sawa na SCANIA moja.Bado sana.Yaani hiyo $ 217,000 napata YUTONG tatu mpya kali kabisa
nikajua mzee mremi ndio mmilikiDar coach ni kampuni ya kutengeneza body za mabasi inamilikiwa na wahindi wakati Dar exp ni kampuni ya usafirishaji ya Mzee Mremi