Dar: Dibron Saidi ahukumiwa kunyongwa kwa kosa la kumuua Mkewe Herieth Justine kwa kisu, ni baada ya kumfumania

Omba MUNGU mchana na usiku YASIKUKUTE
Penda lakini asilimia kadhaa Baki Nayo mwenyewe!Hawa viumbe wanaweza kukutoa roho!sasa mama kafa,baba anaenda kunyongwa!
Watoto wanaenda kuishi na ndugu(kama wapo wenye upendo),
Na kama ni wadogo hapo ndio balaa,Kuna kunyimwa Elimu,kutendewa vibaya na ndugu,too bad sana
 
Serikali

Iwasaidie WAKRISTO,Talaka zitolewe ki rahisi bila kuhusisha mahakama!!

Watu watamalizana Sana hasa hizi NDOA za umilele zinazofungwa kila siku!!!

Rip mke wa jamaa!

Pole jamaa owa kuua na kunyongwa!!
 
Ninawaonea huruma watoto(kama wapo). 😭😭Wazazi wao wamepotea mazingira ya kuhuzunisha mno.
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi kisutu haina mamlaka ya kutoa hukumu ya kifo

Ila hakimu anaweza kupewa extended jurisdiction
 
Bila shaka ni mgogo huyu.

Na kazi yake kubwa ni kuchinja ng'ombe.
 
Ifikie hatua serikali iwachukulie hatua wanaotembea na wake za watu Ili Watu wapate pa kushtaki, Hapa aliefumaniwa keshajiona mshindi[emoji3525]
 
Ifikie hatua serikali iwachukulie hatua wanaotembea na wake za watu Ili Watu wapate pa kushtaki, Hapa aliefumaniwa keshajiona mshindi[emoji3525]
... unamaanisha itungwe sheria I hope; otherwise serikali haiwezi kuchukua hatua bila uwepo wa sheria ya kuwezesha hilo. Mchakato wa utungaji sheria huhusisha jamii kutoa maoni yao; tatizo mkiitwa kutoa hayo maoni huwa mnasema mko bize! Mchakato ukianza ukatoe maoni!
 
Mkuu mimi spingani na hivyo visasi, ila visasi vya kutotumia akili kama huyo jamaa ndo naonaga ni ujuha uliopitiliza. Why usimalizane na mgoni wako kimyakimya mpaka urekodi, watu kibao washuhudie.

Kuchapiwa ni siri ya ndani aisee.
 
Ila jamani kama ni mke wa mtu shobo za nn? Wanawake kibao hawana ndoa ...why ufuate mke wa mtu sio ustaarabu kashawahiwa basi chukua time ,muheshimu ..wanawake kibao watu wanapenda kushare sana.
 
Yes ndo kama ivo mkuu.
Na hata kushtaki jamaa hawezi, kwanza ni aibu na pia atamshtaki nani na yeye pia ni mwizi.
 
Neno[emoji3578]
Yaani inanikera nikiona mke anachepuka na siwapendi Kuna group nipo Yaani kachepuka anaomba mbinu Ili mmewe asigundue wakati wa kula mzigo maana alikua safari anarudi Sasa,Yaani kaka alishauriwa ila kichambo alikipata
Wanawake Hawa tunaoolewa kizazi wamalaya sana wengi wetu tunaolewa tayari tushachezea mibolo yote ukiingia ndoani kama mwanaume ana uume mdogo na ashazoea mishedede atakipeleka tu nje...Yaani mitaani na mavyuoni ni sehemu inayozalisha makahaba kisirisiri,Mpk mtu anaolewa idadi ya wanaume inafika 30 to 40 unadhani atatulia huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…