reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
100% I hate cheating heshima ya Mme ni mke mwenye kujitambua,kizazi chetu elimu badala itusaidie inazalisha wanawake tusojua thamani ya maishaa ya ndoa,uzinzi Kwa Sasa wanawake wa ndoani ni Malaya kuliko walokua nje Yaani humo makazini,mabodaboda n.k wanawake wanaziniwa hovyoo mnooo Tena Kwa Bei rahisi ukute mmewe anahudumia 100% ila kisa tu umbali anakubali kuziniwa na kibodabodaUmemaanisha kweli hili?
Kuna mdada kazini kwetu mmewe anahudumia 100%anampenda n.k ila Sasa kutwa kusifia vitoto vidogo vya kiume Yaani yule kaolewa tu Kwa kua mwanaume ana pesa ila hampendi mmewe daahh huzuni sanaa