Makwizi Band
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 1,535
- 2,565
Kuna uzi kaweka hapo kama rejea wa Dr. Ulimboka, nae ilikua ni Magufuli?Hii nchi ina mambo ya kijinga sana. Huu upumbavu wa kutekana na kuuana ulianzishwa na Magufuli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna uzi kaweka hapo kama rejea wa Dr. Ulimboka, nae ilikua ni Magufuli?Hii nchi ina mambo ya kijinga sana. Huu upumbavu wa kutekana na kuuana ulianzishwa na Magufuli.
Ulimboka kwani aliuawa kama Magufuli alipoua tena kwa mkono wake mwenyewe?Kuna uzi kaweka hapo kama rejea wa Dr. Ulimboka, nae ilikua ni Magufuli?
Jaribu kuwauliza wao wenyewe Wahusika kwamba kwa nini hawauani wakati huko kwao kuna Mafisadi wamejaa tele! Nafikiri wenyewe wanaweza wakakujibuMbona mafisadi wamejaa ndani ya CCM lakini hawauawi mkuu?
Narudia tena naamini kuna mazungumzo yanaendelea kati ya ndugu au familia na wasiojulikana na vyombo vingi vimepigwa pin visireport hii habari ili kupunguza tensheni kwenye hii ishu.
Huyu watamuua ameenda kinyume na kiapo......!! Ka flag kampoza poti wakeUnadhani kwanini hawazungumzi? Jamaa ni KITENGO ,kazi hizo ni risk sana!! Yaani Kifo nje nje ukienda tofauti kidogo tu nao.
Kutishaa wengine waachee waogope kifoKwanini hao wakosaji wasihukumiwe na kufungwa jela badala ya kutekwa na kuuawa mkuu?
Huyu watamuua ameenda kinyume na kiapo......!! Ka flag kampoza poti wake
........!!! Hata Maria huko Ke....zile simu za maria ni ka flag connection na informer wao kitengoni wanataka wajue hao wasaliti.....wa mfumo ! Wataua wengi sana kwenye hilo....huyo jamaa huyo sijui....watamla kichwa....ma home boy usisahauuuuKwani Ka-flag alimtaja? Au wamehisi kuna baadhi ya info alimpa Ka-flag?
........!!! Hata Maria huko Ke....zile simu za maria ni ka flag connection na informer wao kitengoni wanataka wajue hao wasaliti.....wa mfumo ! Wataua wengi sana kwenye hilo....huyo jamaa huyo sijui....watamla kichwa....ma home boy usisahauuuu
Alijisahauu.....hakujua reaction ya kitabu itamgusa mnyetishaji.....ukute amekiwaHuyo lazima aliwe kichwa au kashaliwa ,ukienda against basi inabidi ukimbie nchi kama alivyofanya chahali.
Kamuulize mkuu!Kikwete alimuua nani mkuu?
Kumbe unatetea kitu usichokijua mkuu? Basi ukae kwa kutulia, usibishe au kutetea jambo usilolijuaKamuulize mkuu!
Na Dr ulimboka alikua Magufuli?Kwaiyo bado anaendeleza akiwa kaburini? Au bado Rais wa nchi ni yeye?
Au unataka kusema nchi haina Rais?
Haya mambo yameanza tena?
Very rare cases, kwa Africa utekaji wa kutaka ransom uko common Nigeria tu. Huku ninapoishi naishi na Wapopo wengi hivyo huwa wanasimulia sana matukio ya kwao ilhali kwetu mostly wanaotekwa ni critics wa serikali na chama tawala, yaani lazima kunakuwa na connection na siasa au issues za human rights.Unakumbuka alilekwa yule binti wa kiarabu msasani peninsula
Waliyomteka walitaka hela kutoka kwa mzee wake ,na ili9nesha kama mzee wa hyo binti alikuwa ana daiwa hela na mmoja wa watekaji,ila mwisho wa siku alipatikana na jamaa walidakwa
Utekaji ambao upo sahv ni wa watu kudhulumiana,hata watu wakijuwa una mpunga umepiga dili una hela watu wanakutimbia
Watu wanapita na upepo huo huo wa watu wa mfumo kuteka
Ova
Mtaalam wa madini lakini pia ana 'chembechembe' za kitengo/state house.huyu dunstan anafanya shuguli gani?
ova
Duh hivi hajapatikanaMtaalam wa madini lakini pia ana 'chembechembe' za kitengo/state house.