Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimboka Magufuli alikua Rais sio?Hii nchi ina mambo ya kijinga sana. Huu upumbavu wa kutekana na kuuana ulianzishwa na Magufuli.
Akiwa serious anaweza...kumbuka wanamdanganya.....kumtishaa....Na unaamini Samia hawezi kumaliza utekaji?
Suala la Kudhibiti utekaji na Watekaji siyo kazi rahisi hata kidogo kama unavyofikiri, Kumbuka, hao Watekaji ni Watu Wabobevu na Wataalamu wakubwa kwenye kazi hizo za Kuteka Watu, wamesomea darasani na kupata Mafunzo ya Umahiri kuhusiana na shughuli hizo za Utekaji ( Professional Abductors/Kidnappers). Zinahitajika nguvu kubwa sana na za ziada pamoja na Wananchi kuwa tayari kujitolea muhanga ili kupambana na hao Watekaji sambamba na kuvikomesha kabisa vitendo hivyo vya utekaji na Watekaji wenyewe.Jiji la das-es laam ni la ajabu sana.. Mtu anatekwa mchana kweupe wanamuangalia tu., 🤒🤒🤒
Dr Ulimboka alitekwa na Magufuli?! Mtalia na Magufuli hadi mwaka 2125.Hii nchi ina mambo ya kijinga sana. Huu upumbavu wa kutekana na kuuana ulianzishwa na Magufuli.
Ulimboka alitekwa wakati wa magufuli?Hii nchi ina mambo ya kijinga sana. Huu upumbavu wa kutekana na kuuana ulianzishwa na Magufuli.
Wewe utafanya nini? Kwanza kitendo cha haraka, mnakuwa na mshtuko mnajiuliza hawa vipi? Mara kashaingizwa kwenye gari. Halafu wanakuwa na silaha utawafanya nini? Utapigwa risasi kwa kuingilia visivyokuhusu.Jiji la das-es laam ni la ajabu sana.. Mtu anatekwa mchana kweupe wanamuangalia tu., 🤒🤒🤒
Hizi kauli ni dharau kwa Rais...Akiwa serious anaweza...kumbuka wanamdanganya.....kumtishaa....
We nae ni pumbavuHii nchi ina mambo ya kijinga sana. Huu upumbavu wa kutekana na kuuana ulianzishwa na Magufuli.
Mimi na Magufuli ni kitu kimoja.Hii nchi ina mambo ya kijinga sana. Huu upumbavu wa kutekana na kuuana ulianzishwa na Magufuli.
Punguani wewe, Magufuli yuko wapi? Kwa hiyo mnateka watu kwa jina la Magufuli?Hii nchi ina mambo ya kijinga sana. Huu upumbavu wa kutekana na kuuana ulianzishwa na Magufuli.
Kafanya nini?Nimepokea taarifa usiku huu kutoka kijijini Kishanje, Bugabo Bukoba, akitaarifu kutekwa kwa kijana Danstan Daudi Mutajura (pichani juu) anayefanya kazi Jijini Dar es Salaam.
Dastan ametekwa jana majira ya saa 4 asubuhi maeneo ya Sigara, TANESCO, Buza Jijini Dar es Salaam wakati akienda kazini kwake akitokea nyumbani kwake eneo la Kitunda, Jijini Dar es Salaam.
Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Dastan ametekwa na WATU WASIOJUKIKANA baada ya gari alilokuwa akiendesha (T.109 DYV) aina ya Mercedes Benz C300 kuzuiwa kwa mbele na gari la watekaji.
Baadaye gari la Danstan liliokotwa na kupelekwa Kituo cha Kidogo cha Polisi cha Buza na kuandikishwa kama MALI YA KUOKOTWA RB NO. BZA/RB/53/2025
Madereva wa bodaboda walioshugudia tukio hilo wamesema Danstan alinyofolewa kutoka kwenye gari lake na kufungwa Kitambaa usoni akilalamika kuwa alikuwa akitekwa.
View attachment 3192960
Kutekana kwa ransom au sababu zingine zozote ni aina ya ujambazi unaosambaa kwenye miji mikubwa.Kwa Dar es salaam bado linaonekana jambo geni.
Nairobi imekuwa jambo linalosumbua vyombo vya usalama na mpaka mwishoni wa mwaka 2024 watu 85 wametekwa na baadhi yao kuuwawa.Imekuwa jambo la kawaida wafanyabiashara na watu watu mashuhuri kuwa na, walinzi binafsi.
Johanessburg utekaji na car jacking ni maisha ya kila siku kwa wakazi wa Jiji hilo.
Polisi lazima waanze kufanya kazi ya kuzuia hii hali isiendelee kabla ya kuzoeleka na kuwa sehemu ya maisha.