Dar: Dunstan Daudi Mutajura adaiwa kutekwa eneo la Buza

Dar: Dunstan Daudi Mutajura adaiwa kutekwa eneo la Buza

Hii nchi ina mambo ya kijinga sana. Huu upumbavu wa kutekana na kuuana ulianzishwa na Magufuli.
Awamu ya Nne . Rejea kwa Ulimboka .
Ubinafsi ,uchu wa madaraka na kutafuta mali kupitia madaraka na teuzi ni kamba ya kunyongwa watu wema katika nchi hii.

JPM alikua Mzalendo wa kweli .Uadui dhidi yake ulikua ndani na nje ya nchi .
Kwa hiyo wakati mwingine alikua anapotoshwa kuwa fulani ni adui tuachie tumshughulikie . Kumbe WATU wanatafuta maslahi yao.

Yote kwa yote tunahitaji kiongozi atakayesimamia sheria zetu kwa haki.
Kama mtu ni mhalifu basi akamatwe kisheria na afikishwe mahakamani kama ni kunyongwa anyongwe lakini sio kutafutia WATU dhambi za kuua watu wasio na hatia . Magenge yote ya watekaji yanapaswa kuondolewa na kuchunguzwa hata mali wanazomiliki kwa sababu wakati mwingine ni maslahi binafsi ya kunyanganya WATU pesa zao kwa nguvu.

Ni wazi tunahitaji kiongozi anayeamini katika utawala wa Haki na kufuata sheria na atakayekemea wale wote wanaokiuka sheria iwe ni watawala au wananchi .
Huyu sio mwingine ni Tundu Antipas Lisu.

Lisu kamwe hawezi kukubaliana na watu kujichukulia sheria mikononi .
 
Awamu ya Nne . Rejea kwa Ulimboka .
Ubinafsi ,uchu wa madaraka na kutafuta mali kupitia madaraka na teuzi ni kamba ya kunyongwa watu wema katika nchi hii.

JPM alikua Mzalendo wa kweli .Uadui dhidi yake ulikua ndani na nje ya nchi .
Kwa hiyo wakati mwingine alikua anapotoshwa kuwa fulani ni adui tuachie tumshughulikie . Kumbe WATU wanatafuta maslahi yao.

Yote kwa yote tunahitaji kiongozi atakayesimamia sheria zetu kwa haki.
Kama mtu ni mhalifu basi akamatwe kisheria na afikishwe mahakamani kama ni kunyongwa anyongwe lakini sio kutafutia WATU dhambi za kuua watu wasio na hatia . Magenge yote ya watekaji yanapaswa kuondolewa na kuchunguzwa hata mali wanazomiliki kwa sababu wakati mwingine ni maslahi binafsi ya kunyanganya WATU pesa zao kwa nguvu.

Ni wazi tunahitaji kiongozi anayeamini katika utawala wa Haki na kufuata sheria na atakayekemea wale wote wanaokiuka sheria iwe ni watawala au wananchi .
Huyu sio mwingine ni Tundu Antipas Lisu.

Lisu kamwe hawezi kukubaliana na watu kujichukulia sheria mikononi .
Umenena vema mkuu. Nakubaliana na wewe 💯 %
 
Kwaiyo bado anaendeleza akiwa kaburini? Au bado Rais wa nchi ni yeye?
Au unataka kusema nchi haina Rais?
Hakuna kitu kibaya katika utawala kama kutengeneza special force au kikundi fulani ambacho kwenye makaratasi hakipo na kinawajibika kwa rais tu japo vyombo vingine vinakuwa vinajua uwepo wake na hawana meno wa kukicontrol.
Jambo hili limetokea nchi kibao ikiwemo Haiti na mpaka leo linawatafuna hata baada ya miaka kadhaa baada ya kufa aliyefanya hivyo.
Hiki kikundi sijui task force yake ilibidi wahusika wote washughulikie kisheria otherwise wataendelea kusumbua sana maana wataendelea kutaka kuretain ile nguvu waliyokuwa nayo na wakitaka mambo yabaki kama yalivyokuwa.
 
Nimepokea taarifa usiku huu kutoka kijijini Kishanje, Bugabo Bukoba, akitaarifu kutekwa kwa kijana Danstan Daudi Mutajura (pichani juu) anayefanya kazi Jijini Dar es Salaam.

Dastan ametekwa jana majira ya saa 4 asubuhi maeneo ya Sigara, TANESCO, Buza Jijini Dar es Salaam wakati akienda kazini kwake akitokea nyumbani kwake eneo la Kitunda, Jijini Dar es Salaam.

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Dastan ametekwa na WATU WASIOJUKIKANA baada ya gari alilokuwa akiendesha (T.109 DYV) aina ya Mercedes Benz C300 kuzuiwa kwa mbele na gari la watekaji.

Baadaye gari la Danstan liliokotwa na kupelekwa Kituo cha Kidogo cha Polisi cha Buza na kuandikishwa kama MALI YA KUOKOTWA RB NO. BZA/RB/53/2025

Madereva wa bodaboda walioshugudia tukio hilo wamesema Danstan alinyofolewa kutoka kwenye gari lake na kufungwa Kitambaa usoni akilalamika kuwa alikuwa akitekwa.

View attachment 3192960
Huyo ni mwanasiasa, au?
 
Nimepokea taarifa usiku huu kutoka kijijini Kishanje, Bugabo Bukoba, akitaarifu kutekwa kwa kijana Danstan Daudi Mutajura (pichani juu) anayefanya kazi Jijini Dar es Salaam.

Dastan ametekwa jana majira ya saa 4 asubuhi maeneo ya Sigara, TANESCO, Buza Jijini Dar es Salaam wakati akienda kazini kwake akitokea nyumbani kwake eneo la Kitunda, Jijini Dar es Salaam.

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Dastan ametekwa na WATU WASIOJUKIKANA baada ya gari alilokuwa akiendesha (T.109 DYV) aina ya Mercedes Benz C300 kuzuiwa kwa mbele na gari la watekaji.

Baadaye gari la Danstan liliokotwa na kupelekwa Kituo cha Kidogo cha Polisi cha Buza na kuandikishwa kama MALI YA KUOKOTWA RB NO. BZA/RB/53/2025

Madereva wa bodaboda walioshugudia tukio hilo wamesema Danstan alinyofolewa kutoka kwenye gari lake na kufungwa Kitambaa usoni akilalamika kuwa alikuwa akitekwa.

View attachment 3192960
utekaji tena.
kafanya nini huyu mwamba?
 
Kwaiyo bado anaendeleza akiwa kaburini? Au bado Rais wa nchi ni yeye?
Au unataka kusema nchi haina Rais?
Inawezekana,maana kauli yake kutoa katazo na ufuatiliaji wa watekaji na kutiwa hatiani utaonyesha uimara wake kama mkuu wa nchi
 
Wewe utafanya nini? Kwanza kitendo cha haraka, mnakuwa na mshtuko mnajiuliza hawa vipi? Mara kashaingizwa kwenye gari. Halafu wanakuwa na silaha utawafanya nini? Utapigwa risasi kwa kuingilia visivyokuhusu.
labda kila mwananchi akabidhiwe bunduki ya kujilinda
 
Kundii baya sanaa hiloo
..ukute huyu wakili wa Boni Yai au anasaidia CDM huko.....shidaaaa....asingefungua mlango wa gariii
Kabisaa,hii akili alipaswa kuitumia na nashindwa kuelewa kwanini ali unlock milango,
Purukushani za kufungua angepiga reverse ata aue mmoja tuwajue
 
Back
Top Bottom