Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kwani yaliisha?Haya mambo yameanza tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani yaliisha?Haya mambo yameanza tena?
Wameanza tena 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿Nimepokea taarifa usiku huu kutoka kijijini Kishanje, Bugabo Bukoba, akitaarifu kutekwa kwa kijana Danstan Daudi Mutajura (pichani juu) anayefanya kazi Jijini Dar es Salaam.
Dastan ametekwa jana majira ya saa 4 asubuhi maeneo ya Sigara, TANESCO, Buza Jijini Dar es Salaam wakati akienda kazini kwake akitokea nyumbani kwake eneo la Kitunda, Jijini Dar es Salaam.
Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Dastan ametekwa na WATU WASIOJUKIKANA baada ya gari alilokuwa akiendesha (T.109 DYV) aina ya Mercedes Benz C300 kuzuiwa kwa mbele na gari la watekaji.
Baadaye gari la Danstan liliokotwa na kupelekwa Kituo cha Kidogo cha Polisi cha Buza na kuandikishwa kama MALI YA KUOKOTWA RB NO. BZA/RB/53/2025
Madereva wa bodaboda walioshugudia tukio hilo wamesema Danstan alinyofolewa kutoka kwenye gari lake na kufungwa Kitambaa usoni akilalamika kuwa alikuwa akitekwa.
View attachment 3192960
Kwani yalikuwa yameisha?Haya mambo yameanza tena?
A twit at your best!Punguani wewe, Magufuli yuko wapi? Kwa hiyo mnateka watu kwa jina la Magufuli?
Hawapoi. Hivi wakiondoa roho za watu wasiokuwa na hatia na wasiohatarisha usalama wa nchi wanajisikiaje hasa?Wameanza tena 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿
Kipindi cha nyuma humu nilishawahi kusema,haya mambo ya utekaji yanayofanywa na watu wa mfumo...kuna watu nao wataanza kupita na upepo wakeKutekana kwa ransom au sababu zingine zozote ni aina ya ujambazi unaosambaa kwenye miji mikubwa.Kwa Dar es salaam bado linaonekana jambo geni.
Nairobi imekuwa jambo linalosumbua vyombo vya usalama na mpaka mwishoni wa mwaka 2024 watu 85 wametekwa na baadhi yao kuuwawa.Imekuwa jambo la kawaida wafanyabiashara na watu watu mashuhuri kuwa na, walinzi binafsi.
Johanessburg utekaji na car jacking ni maisha ya kila siku kwa wakazi wa Jiji hilo.
Polisi lazima waanze kufanya kazi ya kuzuia hii hali isiendelee kabla ya kuzoeleka na kuwa sehemu ya maisha.
Taka taka za wanaume wa Dar,pumbafu na nusu ,mtu ametekwa mbele yenu mnaona hata kufuatilia ilo gari mmeshndwa?Nimepokea taarifa usiku huu kutoka kijijini Kishanje, Bugabo Bukoba, akitaarifu kutekwa kwa kijana Danstan Daudi Mutajura (pichani juu) anayefanya kazi Jijini Dar es Salaam.
Dastan ametekwa jana majira ya saa 4 asubuhi maeneo ya Sigara, TANESCO, Buza Jijini Dar es Salaam wakati akienda kazini kwake akitokea nyumbani kwake eneo la Kitunda, Jijini Dar es Salaam.
Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Dastan ametekwa na WATU WASIOJUKIKANA baada ya gari alilokuwa akiendesha (T.109 DYV) aina ya Mercedes Benz C300 kuzuiwa kwa mbele na gari la watekaji.
Baadaye gari la Danstan liliokotwa na kupelekwa Kituo cha Kidogo cha Polisi cha Buza na kuandikishwa kama MALI YA KUOKOTWA RB NO. BZA/RB/53/2025
Madereva wa bodaboda walioshugudia tukio hilo wamesema Danstan alinyofolewa kutoka kwenye gari lake na kufungwa Kitambaa usoni akilalamika kuwa alikuwa akitekwa.
View attachment 3192960
Hata picha hawanaBodaboda wakawa wanapiga picha?
Basi walikuwa wanapiga zile drifting!!Hata picha hawana
Sahihi kabisa hawa watu watatumalizaBila kukiwasha, haya mambo hayawezi kuisha.
Watu wametekwa na kuuawa hata kabla ya uhuruHii nchi ina mambo ya kijinga sana. Huu upumbavu wa kutekana na kuuana ulianzishwa na Magufuli.
Wakamteke ridhiwani tuone kama watachelewa kukamatwa.Suala la Kudhibiti utekaji na Watekaji siyo kazi rahisi hata kidogo kama unavyofikiri, Kumbuka, hao Watekaji ni Watu Wabobevu na Wataalamu wakubwa kwenye kazi hizo za Kuteka Watu, wamesomea darasani na kupata Mafunzo ya Umahiri kuhusiana na shughuli hizo za Utekaji ( Professional Abductors/Kidnappers). Zinahitajika nguvu kubwa sana na za ziada pamoja na Wananchi kuwa tayari kujitolea muhanga ili kupambana na hao Watekaji sambamba na kuvikomesha kabisa vitendo hivyo vya utekaji na Watekaji wenyewe.
Narudia tena kusema, kudhibiti Watekaji siyo kazi rahisi hata kidogo.
Oya wee sema tena tema mate chiniNoma sana!! Watoto wa kishua kuweni makini.
Kwa hiyo ni halali utekaji kuendelea mkuu?Watu wametekwa na kuuawa hata kabla ya uhuru
Amalizeje wakati naye ameuendeleza pale alipoishia Magufuli?Na unaamini Samia hawezi kumaliza utekaji?
Amemrithisha bi Tozo ndiyo maana mauaji yanaendelea hadi leo. Unashindwa kuelewa nini hapo mkuu?Kwaiyo bado anaendeleza akiwa kaburini? Au bado Rais wa nchi ni yeye?
Au unataka kusema nchi haina Rais?
Mkuu unaokotaje kuku, huyo ni lazima umemuiba...Gari limeokotwa?
Hivi kuokota mali ni kosa kisheria Yaani mfano nikiokota kuku wa jirani nikamla bila kuripoti popote ni kosa?
Maswali sii kuwa nani alitekwa na nani ila kwanini utekaji ni zaidi wakati fululani na katika nyakati fulani na akiwepo fulani au fulani?Dr Ulimboka alitekwa na Magufuli?! Mtalia na Magufuli hadi mwaka 2125.