Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Naona unakimbia sababu umeshindwa kujibu hoja iliyotokana na swali lako mwenyewe.Anyway, Mungu na Akubariki.
Hakika umenena ukweli. Wa kuanza nao ni hawa wezi wanaojiita viongozi, wanaotoza toza hovyo fedha ili wastarehe.JAMII irudishe MOTO Kwa VIONGOZI juu waliohujumu mifumo ya ELIMU na kuruhusu Maadili kuporomoka ktk JAMII.
ELIMU ilikuwa Bure Mashuleni, watoto walienda shule wakanunuliwa na Serikali sare kalamu daftari nk,
Watoto walifundishwa URAIA na UZALENDO Mashuleni,
Watoto walipewa Chakula Bure Mashuleni, Leo mtoto alielala njaa, anaambiwa aende shule bila kula na ashinde Hadi jioni paso kula, ataelewa nn darasani? Ndo maana hawafiki shule wanaenda kukaba mitaani.
Walimu walidhibiti watoto kwenda kuangalia movie chafu kwenye mananda ya video .
Mnataka kuwauwa PANYA road mliowazaa wenyewe, je Wanaowatoza KODI kandamizi na KUWAIBIA pesa zenu kwenye account mmewafanya nn😃😃😃😃
Sijidanyanyi ila wewe ndiyo unajidanganya. Wakisema wauawe, nina uhakika asilimia kubwa ya watakaouawa siyo panya road. Unajifanya hujui polisi wetu? Ni yale yale ya kujidanganya kuwa ili tumalize ufisadi basi inabidi tupishe hukumu ya kifo wa mafisadi bila kujiuliza hata sasa hivi jela kuna mafisadi wangapi.Endelea kujidanganya Tu hawa panya road ni shaba
Kuna ustawi wa Jamii hawa vijana wapewe maarifa ya kujiajiri kama uashi mdogomdogo plumbing carwashing sio kuwalaumu tu.Asilimia kubwa ya panya road ni watoto na vijana kuanzia miaka 15 na kuendelea.
Watoto na Vijana ambao wengi wameishia la saba kwa kufeli au kuacha shule, ajira zinahusika vipi hapo?
Mtu mwenye elimu ya university hawezi kushika panga akaingia mitaani kuiba, kupiga watu na kuua.
Nasikitika sana jeshi la polisi linavyo wapa umaarufu hawa.Et askari mia3 wameongezwa,je ingekuwa alqaed ?Mikoa mingine mbona hawa vijana wanadhibitiwa?
========
Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Amos Makalla amesema mkoa huo umeongeza askari 300 kwa ajili ya msako wa kuwakamata wahalifu maarufu 'panya road'.
Makalla ameyasema hayo leo Alhamisi Septemba 15, 2022 alipokuwa akizugumza na wananchi wa Kata ya Zingiziwa mara baada ya kutembelea ujenzi wa barabara ya Chanika -Homboza.
Amesema msako wa wahalifu huo umeanza tangu jana Alhamisi na kuwaambia wazazi ambao watapotelewa na vijana wao kuanzia leo Alhamisi wakawafuate vituo vya polisi au hospitali za wilaya.
"Hawa panya road wamezaliwa na wazazi, ni watoto wetu, na kwa kuwa baadhi mmeshidwa kuongea nao sisi tutashughulika nao na tayari tumemwaga askari 300,” amesema
"Hivyo kuanzia leo naomba mzazi au mlezi ambaye hatamuona kijana wake afike vituo vya pilisi na hospitali kubwa za wilaya ikiwemo Amana Mwananyamala, Muhimbili wodi ya Mwaisela na Temeke," amesema Mwenyekiti huyo wa kamati ya ulinzi na usalama
Hata hivyo, Makalla amesema inasikitisha ķatika matukio mawili yaliyotokea siku mbili hizo katika maeneo ya Kawe na Tabata, waliokamatwa kuhusika wengi na vijana waliotoka kutumikia vifungo vya miezi sita hadi mwaka mmoja jela.
Mwananchi
Mikoa mingine mbona hawa vijana wanadhibitiwa?
========
Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Amos Makalla amesema mkoa huo umeongeza askari 300 kwa ajili ya msako wa kuwakamata wahalifu maarufu 'panya road'.
Makalla ameyasema hayo leo Alhamisi Septemba 15, 2022 alipokuwa akizugumza na wananchi wa Kata ya Zingiziwa mara baada ya kutembelea ujenzi wa barabara ya Chanika -Homboza.
Amesema msako wa wahalifu huo umeanza tangu jana Alhamisi na kuwaambia wazazi ambao watapotelewa na vijana wao kuanzia leo Alhamisi wakawafuate vituo vya polisi au hospitali za wilaya.
"Hawa panya road wamezaliwa na wazazi, ni watoto wetu, na kwa kuwa baadhi mmeshidwa kuongea nao sisi tutashughulika nao na tayari tumemwaga askari 300,” amesema
"Hivyo kuanzia leo naomba mzazi au mlezi ambaye hatamuona kijana wake afike vituo vya pilisi na hospitali kubwa za wilaya ikiwemo Amana Mwananyamala, Muhimbili wodi ya Mwaisela na Temeke," amesema Mwenyekiti huyo wa kamati ya ulinzi na usalama
Hata hivyo, Makalla amesema inasikitisha ķatika matukio mawili yaliyotokea siku mbili hizo katika maeneo ya Kawe na Tabata, waliokamatwa kuhusika wengi na vijana waliotoka kutumikia vifungo vya miezi sita hadi mwaka mmoja jela.
Mwananchi
Wakulaumiwa ni Samia na wasaidizi wake wanaokula mshahara wetu bure, tatizo la panya lodi lilikuwa limeisha kipindi cha Magufuli, Maana Magufuli aliliruhusu kila mmoja hafanye Kazi ilimradi afuate Sheria, vijana wengi wakadunduliza mitaji wakafungua vibanda na kufanya shughuri zao bila bughuza wakawa wanajingizia kipato, baada ya Magufuli kufa Samia kafanikiwa kushika madaraka kawafukuza wote,na kuwaharibia mitaji yao,hivi mnafikili vijana wote waliokuwa barabarani wameenda wapi?hata wamwage asikari kiasi gani tatizo la panya lord haliwezi isha, vijana wananjaa, Serikali hiwape vijana ajira la sivyo hali itakuwa mbaya zaidi.Mikoa mingine mbona hawa vijana wanadhibitiwa?
========
Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Amos Makalla amesema mkoa huo umeongeza askari 300 kwa ajili ya msako wa kuwakamata wahalifu maarufu 'panya road'.
Makalla ameyasema hayo leo Alhamisi Septemba 15, 2022 alipokuwa akizugumza na wananchi wa Kata ya Zingiziwa mara baada ya kutembelea ujenzi wa barabara ya Chanika -Homboza.
Amesema msako wa wahalifu huo umeanza tangu jana Alhamisi na kuwaambia wazazi ambao watapotelewa na vijana wao kuanzia leo Alhamisi wakawafuate vituo vya polisi au hospitali za wilaya.
"Hawa panya road wamezaliwa na wazazi, ni watoto wetu, na kwa kuwa baadhi mmeshidwa kuongea nao sisi tutashughulika nao na tayari tumemwaga askari 300,” amesema
"Hivyo kuanzia leo naomba mzazi au mlezi ambaye hatamuona kijana wake afike vituo vya pilisi na hospitali kubwa za wilaya ikiwemo Amana Mwananyamala, Muhimbili wodi ya Mwaisela na Temeke," amesema Mwenyekiti huyo wa kamati ya ulinzi na usalama
Hata hivyo, Makalla amesema inasikitisha ķatika matukio mawili yaliyotokea siku mbili hizo katika maeneo ya Kawe na Tabata, waliokamatwa kuhusika wengi na vijana waliotoka kutumikia vifungo vya miezi sita hadi mwaka mmoja jela.
Mwananchi
Wengi wao,hawajapata malezi boraKwann wameshindwa kuendelea na shule secondary au kuingia veta nk.
Lipo jambo JAMII na Serikali Kwa ujumla tunajitoa uhusika.
Alikuwa hacheki na kimaHivi JPM alikomeshaje hawa mapanya. Kipindi chake wote walijificha mashimoni.
Mama anawambembeleza sana hawa.
Armed robbery + Haki za binadamu !! Kazi Kweli Kweli !!Unakumbuka lile tukio huko kenya
Yule askari Ahmed rashid,alimtandika
Dogo mmj mbele ya umati risasi
Yule dogo alikuwa gangster na alishashindikana.....
Ah watu walimwambia tu Yule dogo sasa popote ukatapoonekana,uhai wako tunauchkua ...mbn walimmaliza
Police inabd iwe na watu dizain ya Ahmed rashid....yaani mtu mwenye file chaf,hasiki hataki kuacha uhalifu au kubadilika wao ni kumngoa tu
Hata Brazil police wao maalum wanafanya sana hiyo,maana kuna watu wTukutuku hawasiki..
Ova
Duh !!Sijidanyanyi ila wewe ndiyo unajidanganya. Wakisema wauawe, nina uhakika asilimia kubwa ya watakaouawa siyo panya road. Unajifanya hujui polisi wetu? Ni yale yale ya kujidanganya kuwa ili tumalize ufisadi basi inabidi tupishe hukumu ya kifo wa mafisadi bila kujiuliza hata sasa hivi jela kuna mafisadi wangapi.
Ngoja siku wakutaitishe wakule kiboga tuone Kama utakuja hapa na hii ngonjera there is no excuse ya uhalifu,,,Ulizaa, ukashindwa malezi, unashauri MAUAJI Ili kuondoa tatizo!!!!!
Kwako ni sawa MZAZI amzike mtoto Badala ya MTOTO amzike mzazi!!!!!
Movie za VITA na mapigano ulimletea mwenyewe aangalie Ili asikupigie kelele na kuuliza maswali uliyoyaita ya kijinga.
Picha za ngono uliangalia ww na ulipozisahau alizotumia hizo hizo kujifunzia Umalaya.
Hukumfundisha mtoto njia impasayo Ili akue ktk hiyo, hukumpeleka Kanisani, Leo unataka auwawe?
Panya road ni watoto uliowazaa Ukiwa kijana ukawatelekeza wakalelewa na wamama pekeao Leo unashauri wauwawe???? Really??
Unarudi nyumbani umelewa, hujui watakula nn, Leo unashauri panya road wauwawe.
Wazazi wachukue hatua madhubuti KUSIMAMIA malezi ya watoto wao,
Samahani, naongea na wazazi kupitia post Yako.
Ameeeeeen.
Mawazo ya kiuwaji hayo, unawapa RUHUSA askari waue raia bila uchunguzi Wala kufikishwa mahakamani.Ngoja siku wakutaitishe wakule kiboga tuone Kama utakuja hapa na hii ngonjera there is no excuse ya uhalifu,,,
Wewe unataka wapewe mikate na siagi kwa vitendo wanavyofanya? Hao wauwawe tu. Hata wewe pia ukijifanya kimbelembele unakula chuma vilevile. Watu kama nyie mnakera sanaNaona Makalla anawaruhusu polisi kuendelea kuwapiga watuhumiwa wakiwa mikononi mwao, tujiandae kupokea taarifa zaidi za mahabusu kufia vituo vya polisi.
Hata hiyo sababu aliyoitoa Makalla, kwamba baadhi ya hao panyarodi walishafungwa miezi sita hadi mwaka mmoja, haina maana wazazi wao ndio wakawatafute vijana wao mahospitalini, hii ni kauli ya mihemko.
Kawaida, kule mahakamani, baada ya mtuhumiwa kukutwa na hatia, hakimu/jaji hutoa nafasi kwa mawakili wa pande zote mbili, waseme kwanini mtuhumiwa afungwe miaka mingi, au miaka michache.
Sasa hiyo ni nafasi nzuri kwa mawakili wa serikali kuiambia mahakama, mtuhumiwa anastahili adhabu kubwa zaidi kwasababu amerudia kosa, kwani adhabu aliyopewa mwanzo haikutosha kumbadili tabia.
Inashangaza, hawa polisi wetu waliozoea kubambikia kesi watuhumiwa, kuwaruhusu wapige watuhumiwa wakiwa mikononi mwao ni kosa kubwa sana, litakuja kuwaumiza panya rodi na wale wasio panya rodi.
Jamaa wanatatua tatizo moja kwa kutengeneza tatizo lingine, huu ni mfano halisi wa mamlaka iliyochoka akili inayostahili kupumzika kuwaongoza watanzania.
Mzee wa Kino nawakumbuka Chaukucha... ilikuwa balaa. Hadi leo kuna timu ya mpira huko Msimbazi Bondeni inaitwa ChaukuchaNilishasema humu,ilala kuna kundi
Walikuwa wanajiita chaukucha
Walikuwa wanasumbua ilala hadi buguruni mpk mto kigogo huko
Iliundwa task force maalum,baraka
Zote zlitoka juu tena
Mbona waliwafyeka ilikuwacni kuua tu
Ova