babu ibrahim
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 253
- 108
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Arusha hakuna, hii ni hatua nzuri maana sukari inaleta vitambiNimetafuta sukari maduka mengi ya nyumbani Tandika Mwembeyanga na Temeke mwisho sikufanikiwa kuipata, baadaye akaja kijana mmoja ninayefahamiana naye akaninong'oneza kwamba siwezi kupata sukari wiki hii, labda nisubiri upepo upite.
Baada ya uchunguzi wangu wa wazi nimebaini kwamba maduka karibu yote ya rejareja hayauzi tena sukari jijini Dar kutokana na mgogoro wa bei, taarifa zinaonyesha kwamba maduka ya jumla likiwemo la mfadhili wa CCM aitwaye Zakaria kilo moja ya sukari inauzwa kwa Tsh 2800 /= tena kwa masharti kwamba ni lazima ununue na vitu vingine, huku Muuzaji wa reja reja akitakiwa kuiuza kilo hiyo hiyo kwa Tsh 2600 /= kutokana na bei elekezi ya Serikali .
Wauzaji wa rejareja wameona isiwe tabu wameamua kuiachia serikali iuze yenyewe sukari kama inavyouza dawa kwenye maduka ya MSD
Dada huku kigamboni nimezunguka maduka mengi sukari hamnaUzuri ni kwamba wananchi wameng'amua
Mm sijai fanyia test mkuu.... Haahaaa angalizo mifuko ya PIPI IVORY isije nayo ikapanda bei..Nainakili hii mkuu
Mwongo! Tegeta kwa ndevu jakuna sukari hata duka moja! Nimepita maduka yote hadi ya uchochoroni kuisaka na sijaipata! Nimekwenda hadi maduka ya namanga, kibo na nyuki na kunduchi kwa wapemba nimeambulia patupu! Nimerudi na ndizi mbivu tu angalau. Sukari kuadimika ndiko kupendwa kwa ccm kunazidi!Nenda Tegeta kwa ndevu sukari iko bei sh 2600
[emoji120][emoji120][emoji120] Ughonile mwalafyaleNi wakati sasa kwa serikali kusambaza sukari kwenye kila ofisi ya serikali za mitaa ambazo zinaongozwa na wanaccm nchi nzima ili kuwauzia wananchi kwa bei rahisi
Ndaga Nkamu
Ohooo !!!Hata Arusha hakuna, hii ni hatua nzuri maana sukari inaleta vitambi
Sasa bwashee hiyo garama ya mafuta, muda na hatari zote za barabarani si bora anunue huko huko Temeke kwa shilingi 4000?Nenda Tegeta kwa ndevu sukari iko bei sh 2600
Wapumbavu bado ni wengi Tanzania Hongera mpumbavu Ila ujue sio wote wanaweza kufanya hivyo. Mfikirie na mama ntilie nae. Hana uwezo wa kununua hata kilo 2.Poleni sana. Nilinunua ya kunitosha mpaka 7 mwishoni.