Dar es Salaam hakuna sukari madukani

Dar es Salaam hakuna sukari madukani

Kawaida yake Jiwe,atawasingizia tena mabeberu.
Haohao wameleta barakoa mbaya, vifaa vibovu vya maabara.
Wametoa mafunzo mabaya kuhusu corona.

Asipokaa chini na kujitafakari ataishia kuwashika uchawi wote wenye mitazamo tofauti. Wenye ujasiri wa kusema maoni yao.
Ila kilicho dhahiri ni kuwa; hayo ni maandishi yaliyo ukutani.

"Aliingia na uhaba wa sukari ataondoka kama alivyokuja, na uhaba wake".
AMEN.
Rais anatakiwa kupumzishwa.
 
Back
Top Bottom