Dar es Salaam: House girl amshtaki bosi wake kwa kutomlipa mshahara kwa miaka Mitano

Hivi wanawake wana vitu hawawezi kununua kabisa kama taa/barubu za vyumbani zikiungua mpaka akusubiri hata ukiwa safarini, luku, atakupigia simu luku inakaribia kuisha wakati pesa ya matumizi anae mboga nzuri kama kuku wakienyeji ukisafiri watoto na hausi geli kula kuku mpaka urudi home.
 
Mhm atakubali bwana wewe hapa jf.
Alafu jpili usisahau nina ticket yako ya vvip hapa ukashuhudie jinsi mishangazi ya yanga wanavyo tetema na matiti yao
Jpili hakuna kutetemesha hayo manyo* labda watetemeke mwili...
Any way tunaharibu uzi wa watu.. 😆 😆 😆
 
Ah wee hawa ni very very very very selfish creatures! Sasa kwwli luku imeisha unashindwa jiongeza tuu ununue mume akifika ndio ikaribie kuisha? Na mshahara anapata. Mhm aisee vijana wana haki ya kataa ndoa. Hawabebeki hawa viumbe
 
Ni vile hujui kinachoendelea kwa mabosi wa Asia .

By the way, kumuendeleza binti wa kazi ni moyo wa mtu na sio uafrika wa mtu
 
Ah wee hawa ni very very very very selfish creatures! Sasa kwwli luku imeisha unashindwa jiongeza tuu ununue mume akifika ndio ikaribie kuisha? Na mshahara anapata. Mhm aisee vijana wana haki ya kataa ndoa. Hawabebeki hawa viumbe
Mkuu ni kweli hao watu very selfish mtoto anarudishwa nyumbani kwa mchango wa sh 20,000 wa shule ila mtoto ataka nyumbani siku mbili bila kuenda shule anasubilia wewe umpe hiyo pesa, wakati yeye j2 anaenda saloon kuset nywele zake kwa 40k, hao watu kuoa lazima tuoe ila tujue sio wenzetu, tukae nao kimkakati kwasbb kua na utelezi wa wakika ni muhimu kwa kutuliza nafsi yako.
 
Aisee ni shida sana yaani miaka mitano bila malipo na bado binti anatoa fedha yake kuhudumia familia.
 
Mkuu unapoint sana usikilizweeh😄😄
Alafu cha kushangaza sasa, mke heye anataka agegedwe ila housigelo asiende nje kugegedwa. Wanawake wakatili sana. Sie wanaume tunajali sana sexual health ya housigels basi tuu wake zetu roho mbaya
 
Utelezi wa uhakika mwanawane mbona unapatikana tuu cha msingi hela uwe nayo.
Hawa wanaweza kukunyima utelez ukitetereka kidogo tuu. Hapo ndio shida ilipo.
Kuna jamaa kasema kuwa siku hizi malayaz wana offer hadi services za kupikiwa...mambo mazuri soon watakuwa wanatoa kffer ya kubeba mimba. Tuwe na subira
 
Daah kupitia maandishi Bi Khadija ameongea kwa uchungu sana na anaonekana sio mkorofi dada wa watu ila ndio hivyo tu maisha yamembadilikia avumiliwe tafadhali atamlipa tu taratibu.
 
Alafu cha kushangaza sasa, mke heye anataka agegedwe ila housigelo asiende nje kugegedwa. Wanawake wakatili sana. Sie wanaume tunajali sana sexual health ya housigels basi tuu wake zetu roho mbaya
Mkuu hapo hiyo itakua mathina kugegeda wake wa wili ndani ya nyumba moja bora utangaze ndoa kabisa, otherwise utakua uzinufu na kujishusha mbele ya jamii na mkeo
 
Can't wait🤗
 
Mkuu hapo hiyo itakua mathina kugegeda wake wa wili ndani ya nyumba moja bora utangaze ndoa kabisa, otherwise utakua uzinufu na kujishusha mbele ya jamii na mkeo
Wewe bwana kujishusha vipi tena wakati housigelo nae ni mwanamke anahitaji de liboloz.
Trust me kwa hawa wanawake wa kitz walivyo tegemezi the worst that will happen ni wewe kuitwa kikao na wazazi. Sasa wee pale wala usitake maneno mbufo mbofu sema tuu kweli nimemgegeda housigelo na nipo tayari kuwahudumia mke na housigelo basi. 1 in a million tz ladies wataondoka hapo nyumbani kwako nakwambia as long as huduma zingine zote anapata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…