Dar es Salaam: House girl amshtaki bosi wake kwa kutomlipa mshahara kwa miaka Mitano

Yani kuna dada angu wa kazi ameniambiaa hivyooo aiseeee huu mtego...alafu 70k aiseee mbona balaaa
 
Duuuh kumbe wafanyakazi wa 35k wapo?? Naombeni connection
Me napata wa 70 kwenda juu
Hamna huyo ni vile tu amempata kitambo ila kwa huku mijini hamna anakuja kufanya kazi kwa 35,000 siku hizi.

Uuwiii! Mbona tunakoma siku hizi tena ukiwa na watoto wadogo ndio mtihani yaani kumpata wa kumlipa 70 tu ni kipengele.
 
Maisha si mchezo kuna wakati mambo yanakuwa magumu sana

Ova
 
Yani kuna dada angu wa kazi ameniambiaa hivyooo aiseeee huu mtego...alafu 70k aiseee mbona balaaa
Usiingie huu mtego, mpe pesa yake mkuu, mwambie akafungue hata account. Siku akibadilika hamna rangi utaacha ona!
 
Wanyaturu wanyiramba warangi wadigo wabondei kwa kazi za uyaya nawapongeza sana mko vizuli sana tatizo waajiri ndio vimeo kama vipi tinga mahakamani bade lake kupigwa mnada
 
Hapa kwangu kuna bint yupo ila mambo yalipokuwa magumu nikawaeleza wazazi wake na yeye kuwa nimeshindwa kumlipa naomba arudi kwao lakini wote bint na wazazi walikataa na na kuniomba nikae nae kama mtoto wangu,hivyo yupo hapa home mwaka wa 3 sasa.
 
Usiingie huu mtego, mpe pesa yake mkuu, mwambie akafungue hata account. Siku akibadilika hamna rangi utaacha ona!
Kwa kwelii inakuwaa kivumbiii leoooo..
 
Mwaka mzima hulipwi?!

Alitakiwa ashtuke kuanzia miezi 3 kwa mbinde 6.
 
Miaka yote kavumilia kufanya kazi bila malipo?!

Alitakiwa avumilie miezi 3 hadi 6 tu, then asanuke.
 
Naomba namba yake
 
Nmependa majibu ya mdaiwa-Bi hadija

HAKIKA NI MUUNGWANA SANA,

Nia ya kulipa anayo,Sema Mambo yamebana[emoji106]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwa maelezo inaonyesha mwajiri sio mkorofi bali maisha yamebadilika
Mwajiri bomba kabisa,
Ndo maana wameweza kuishi miaka yote bila kulipwa Hadi anamkopa housegal wake

Inaonekana walishajenga undugu kabisa

Sema hili suala mpk wamefikishana uko huenda Kuna Watu nje wanapush mwajiri akomolewe[emoji26]


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…