Uchaguzi 2020 Dar es Salaam imepatwa na nini? Mbona mpo tuli?

Uchaguzi 2020 Dar es Salaam imepatwa na nini? Mbona mpo tuli?

Kama mji mkuu Tanzania kwa hadhi na historia, jiji la Dar ndio lango la mambo yote, yawe mazuri au mabaya.

Ni kweli Dar ni bandari salama ila sio kwa kupoa huku kwenye vuguvugu hili la mabadiliko.

Sijaona zile vibe za 2010 kipindi cha Dr. Slaa Vs Kikwete. Sijaona vibe za 2015 kipindi cha Mh Edward Lowasa Vs Dr. JPM

Jiji na viunga vyake vyote ilikua mshikemshike nguo kukauka nikuvae, ila this time, watu wako busy na issue zao tu.

Sijui ni hasira zimewajaa mzee wa kaya alivyoziba mirija kwa miaka 5?

Please, tunapoelekea week 4 za mwisho, tunataka kuona mchango wa jiji kubwa katika harakati za kuwa na taifa lenye muelekeo wa kisera na kimifumo ya taasisi za kiutawala, na maendeleo.
Dar sisi tumeshamaliza kazi, tunasubili tarehe tu ya kuinyonga ccm.
FB_IMG_1601425432271.jpg
 
Kama mji mkuu Tanzania kwa hadhi na historia, jiji la Dar ndio lango la mambo yote, yawe mazuri au mabaya.

Ni kweli Dar ni bandari salama ila sio kwa kupoa huku kwenye vuguvugu hili la mabadiliko.

Sijaona zile vibe za 2010 kipindi cha Dr. Slaa Vs Kikwete. Sijaona vibe za 2015 kipindi cha Mh Edward Lowasa Vs Dr. JPM

Jiji na viunga vyake vyote ilikua mshikemshike nguo kukauka nikuvae, ila this time, watu wako busy na issue zao tu.

Sijui ni hasira zimewajaa mzee wa kaya alivyoziba mirija kwa miaka 5?

Please, tunapoelekea week 4 za mwisho, tunataka kuona mchango wa jiji kubwa katika harakati za kuwa na taifa lenye muelekeo wa kisera na kimifumo ya taasisi za kiutawala, na maendeleo.
Mwizi anakimbizwa kimya kimya
 
Mbona tulijibu viwanja vya Zakhem

Nunuliwa nunuliwa ya wanasiasa imeonesha mielekeo ya vyama tulivyo navyo sasa, tunasubiri CHAUMA kiote maziwa (chuchu) tujaribishe hao mnaowashangilia huko mikoani tunao hapa hata ofisi zao zingine ni chumba na sebule ruzuku wanatafuna tu
 
Mikoani wengi limbukeni Dar wameshaona uelekeo wa upepo hawajisumbui matokeo yameshajulikana mapeema
 
Kama mji mkuu Tanzania kwa hadhi na historia, jiji la Dar ndio lango la mambo yote, yawe mazuri au mabaya.

Ni kweli Dar ni bandari salama ila sio kwa kupoa huku kwenye vuguvugu hili la mabadiliko.

Sijaona zile vibe za 2010 kipindi cha Dr. Slaa Vs Kikwete. Sijaona vibe za 2015 kipindi cha Mh Edward Lowasa Vs Dr. JPM

Jiji na viunga vyake vyote ilikua mshikemshike nguo kukauka nikuvae, ila this time, watu wako busy na issue zao tu.

Sijui ni hasira zimewajaa mzee wa kaya alivyoziba mirija kwa miaka 5?

Please, tunapoelekea week 4 za mwisho, tunataka kuona mchango wa jiji kubwa katika harakati za kuwa na taifa lenye muelekeo wa kisera na kimifumo ya taasisi za kiutawala, na maendeleo.
Dar hali ni ngumu kuliko maelezo, biashara nyingi zimefungwa, sehemu za starehe hazina watu, wengi tunahangaikia familia zetu kwa taabu sana. Suruhisho la haya teamua kukaa kimya kungojea siku ya siku kuonyesha hasira zetu kwenye sanduku la kura
 
Hivi lile nyomi lililoenda kumpokea mwamba airport alivyorudi toka ubelgiji,mnataka nini tena,au walitoka mikoani?,jiji lilisimama.
.
 
Back
Top Bottom