Uchaguzi 2020 Dar es Salaam imepatwa na nini? Mbona mpo tuli?

Uchaguzi 2020 Dar es Salaam imepatwa na nini? Mbona mpo tuli?

Tuko busy na mambo yetu, ni uboya kupoteza muda kumpa mtu ulaji, mwaka 2015 saa 12 niko kwenye foleni kumpa ulaji mbunge wangu, hajui na hatajua nilishinda juani kwa ajili yake,akawa anatupita barabarani hata salam hatoi, sitarudia tena kupoteza muda kufanywa ngazi ya mtu
umechelewa sana kutambua hili mkuu.....mimi nikisimama foleni ya kumpigia mtu kura ,ujue nina mmudu hata nikitaka kumtafuta lazima awe amenitambua na asinisumbue kama boya
 
Kwa maoni yangu naona dar imepigwa sana makombora yale ya kuunga juhudi, takribani majimbo matatu kati ya sita yalidhurumiwa sauti ya wananchi. Hali hiyo imeleta ganzi kwa wananchi wasijue cha kufanya. Waliowengi wanahitaji mabadiliko lakini wanaoaminiwa wanasaliti wananchi. La pili suala la kuwaacha machinga na lenyewe limechangia jiji kutokuwa na vuguvugu. Yani ile mtu akikumbuka adha ya kukimbizana na mgambo anaona serekali hii ni bonge la bahati. Pia kuana suala la usalama, dar kwa sasa maji na bidhaa zote tunazouza barabarani, zinalala palepale na hakuna udokozi kama zamani. Hata issue za kukabana kabana imepungua sana.
Tatizo kura ni siri.....na watu wengi siku hizi wanazijua hizo techniques ....tusubiri
 
Kama mji mkuu Tanzania kwa hadhi na historia, jiji la Dar ndio lango la mambo yote, yawe mazuri au mabaya.

Ni kweli Dar ni bandari salama ila sio kwa kupoa huku kwenye vuguvugu hili la mabadiliko.

Sijaona zile vibe za 2010 kipindi cha Dr. Slaa Vs Kikwete. Sijaona vibe za 2015 kipindi cha Mh Edward Lowasa Vs Dr. JPM

Jiji na viunga vyake vyote ilikua mshikemshike nguo kukauka nikuvae, ila this time, watu wako busy na issue zao tu.

Sijui ni hasira zimewajaa mzee wa kaya alivyoziba mirija kwa miaka 5?

Please, tunapoelekea week 4 za mwisho, tunataka kuona mchango wa jiji kubwa katika harakati za kuwa na taifa lenye muelekeo wa kisera na kimifumo ya taasisi za kiutawala, na maendeleo.
Dar ni moto wa pumba, ngoja Jiwe aweke miguu yake,akifikifi poa, akutane na yaliyompata Side mnyamwezi!
😅
👊 ✌️✌️✌️💥
 
Hamna kitu kina uma watu hadi leo hii kama tukio la LOWASSA kuachia

watu manyoya,yani upinzani ungekua na nguvu ile ile ya 2015 kama babu

asingewaachia manyoya,hiyo ndio sababu namba 1 ya raia kukinai siasa za upinzani

kuna JIJI lilimsimamia kidete lowassa kama DAR,kuna jiji gani eti? Lowassa

alipiganiwa na wana DAR bodaboda,machinga,wafungwa,mahabusu,aseee acha kbsa

ila ndio hivyo akafanya alichofanya,sasa mwana dar Gani leo ataacha anachofanya

ampganie mtu ambae wanajua 2023 atahama chama kwa kusema "kastaaafu siasa",NO NO NO NO.....
 
Dar hali ni ngumu kuliko maelezo, biashara nyingi zimefungwa, sehemu za starehe hazina watu, wengi tunahangaikia familia zetu kwa taabu sana. Suruhisho la haya teamua kukaa kimya kungojea siku ya siku kuonyesha hasira zetu kwenye sanduku la kura
Sema wewe huna hela, usiwasemee wengine, fanya kazi kwa bidii utapata pesa
IMG-20200927-WA0003.jpg
 
Hivi lile nyomi lililoenda kumpokea mwamba airport alivyorudi toka ubelgiji,mnataka nini tena,au walitoka mikoani?,jiji lilisimama.
.
Nyomi anazopata Lisu hazifiki hata nusu nyomi alizokua anapata Lowasa kila mtu hili analijua
 
Subiri Tarehe ya kupiga kura ujionee Siri ya huu ukimya... Kuna watu wanahasira za ndani hatari...
 
Kama mji mkuu Tanzania kwa hadhi na historia, jiji la Dar ndio lango la mambo yote, yawe mazuri au mabaya.

Ni kweli Dar ni bandari salama ila sio kwa kupoa huku kwenye vuguvugu hili la mabadiliko.

Sijaona zile vibe za 2010 kipindi cha Dr. Slaa Vs Kikwete. Sijaona vibe za 2015 kipindi cha Mh Edward Lowasa Vs Dr. JPM

Jiji na viunga vyake vyote ilikua mshikemshike nguo kukauka nikuvae, ila this time, watu wako busy na issue zao tu.

Sijui ni hasira zimewajaa mzee wa kaya alivyoziba mirija kwa miaka 5?

Please, tunapoelekea week 4 za mwisho, tunataka kuona mchango wa jiji kubwa katika harakati za kuwa na taifa lenye muelekeo wa kisera na kimifumo ya taasisi za kiutawala, na maendeleo.
Dar tumechanganyikiwa baada ya ccm kuhamishia makao makuu ya nchi dodoma na kuacha majengo matupu huku tukiambiwa hili ni jiji la biashara kumbe kulikuwa jiji la kupiga dili. Ccm dar haipati kura hata moja.
 
Kama mji mkuu Tanzania kwa hadhi na historia, jiji la Dar ndio lango la mambo yote, yawe mazuri au mabaya.

Ni kweli Dar ni bandari salama ila sio kwa kupoa huku kwenye vuguvugu hili la mabadiliko.

Sijaona zile vibe za 2010 kipindi cha Dr. Slaa Vs Kikwete. Sijaona vibe za 2015 kipindi cha Mh Edward Lowasa Vs Dr. JPM

Jiji na viunga vyake vyote ilikua mshikemshike nguo kukauka nikuvae, ila this time, watu wako busy na issue zao tu.

Sijui ni hasira zimewajaa mzee wa kaya alivyoziba mirija kwa miaka 5?

Please, tunapoelekea week 4 za mwisho, tunataka kuona mchango wa jiji kubwa katika harakati za kuwa na taifa lenye muelekeo wa kisera na kimifumo ya taasisi za kiutawala, na maendeleo.

watu wato kimyaa wansubiri tarehe 28 wakapige kura za kujikomboa.
 
Kama mji mkuu Tanzania kwa hadhi na historia, jiji la Dar ndio lango la mambo yote, yawe mazuri au mabaya.

Ni kweli Dar ni bandari salama ila sio kwa kupoa huku kwenye vuguvugu hili la mabadiliko.

Sijaona zile vibe za 2010 kipindi cha Dr. Slaa Vs Kikwete. Sijaona vibe za 2015 kipindi cha Mh Edward Lowasa Vs Dr. JPM

Jiji na viunga vyake vyote ilikua mshikemshike nguo kukauka nikuvae, ila this time, watu wako busy na issue zao tu.

Sijui ni hasira zimewajaa mzee wa kaya alivyoziba mirija kwa miaka 5?

Please, tunapoelekea week 4 za mwisho, tunataka kuona mchango wa jiji kubwa katika harakati za kuwa na taifa lenye muelekeo wa kisera na kimifumo ya taasisi za kiutawala, na maendeleo.
Wenye akili wamepewa madaraka
 
Kama mji mkuu Tanzania kwa hadhi na historia, jiji la Dar ndio lango la mambo yote, yawe mazuri au mabaya.

Ni kweli Dar ni bandari salama ila sio kwa kupoa huku kwenye vuguvugu hili la mabadiliko.

Sijaona zile vibe za 2010 kipindi cha Dr. Slaa Vs Kikwete. Sijaona vibe za 2015 kipindi cha Mh Edward Lowasa Vs Dr. JPM

Jiji na viunga vyake vyote ilikua mshikemshike nguo kukauka nikuvae, ila this time, watu wako busy na issue zao tu.

Sijui ni hasira zimewajaa mzee wa kaya alivyoziba mirija kwa miaka 5?

Please, tunapoelekea week 4 za mwisho, tunataka kuona mchango wa jiji kubwa katika harakati za kuwa na taifa lenye muelekeo wa kisera na kimifumo ya taasisi za kiutawala, na maendeleo.
Ethiopia Nchi yenye Ndege zaidi ya 120 kuliko Tanzania, Ethiopia ina Flyovers kuliko Tanzania, Ethiopia ina Tren ya Mwendo kasi kuliko Tanzania, Lakini Leo hii Waethiopia 28 na Wasomali 4, Wamekamatwa Wilayani Pangani, Wakijaribu kutoroka kwenda Kujitafutia Maisha Nchi za Kusin

Halafu maccm yanajisifu bila aibu, fyoko fyoko fyoko ndegeeeeee
 
Kama mji mkuu Tanzania kwa hadhi na historia, jiji la Dar ndio lango la mambo yote, yawe mazuri au mabaya.

Ni kweli Dar ni bandari salama ila sio kwa kupoa huku kwenye vuguvugu hili la mabadiliko.

Sijaona zile vibe za 2010 kipindi cha Dr. Slaa Vs Kikwete. Sijaona vibe za 2015 kipindi cha Mh Edward Lowasa Vs Dr. JPM

Jiji na viunga vyake vyote ilikua mshikemshike nguo kukauka nikuvae, ila this time, watu wako busy na issue zao tu.

Sijui ni hasira zimewajaa mzee wa kaya alivyoziba mirija kwa miaka 5?

Please, tunapoelekea week 4 za mwisho, tunataka kuona mchango wa jiji kubwa katika harakati za kuwa na taifa lenye muelekeo wa kisera na kimifumo ya taasisi za kiutawala, na maendeleo.
CCM baba laoo
Kipindi cha 2015 watu walikuwa na laki sio pesa ndio maana oyaoya ikawa juu kipindi hiki leo afadhali ya jana kila mtu anapambana na hali yake tahadhari msichukulie pouwa watu wanajua wanacho kifanya tarehe 28 wataamua mitano tena au mitano kwanza
 
Back
Top Bottom