Dar es Salaam kilo moja ya mchele wanashiba watu wanne, Mikoani kilo moja mtu mmoja tatizo liko wapi?

Dar es Salaam kilo moja ya mchele wanashiba watu wanne, Mikoani kilo moja mtu mmoja tatizo liko wapi?

Wale wataalam wa lishe au wale wataalam wa mahesabu, cross multiplication HiI Imekaaje.

Wote ni watanzania ila matumbo mengine yanapokea full tank.

Niko mkoa ambao sitautaja,nimeshuhudia mtu na mkewe wakipija wali kilo mbili na kubakiza kidogo sana,kwa uzoefu wangu wakuishi Dar kili mbili tulikuwa tukilafamilianzima ya watu nane na unabaki kidogo kiporo cha watoto asubuhí.

Hii imekaaje
Wanatumia nguvu nyingi kimaisha!
Dar it's a service region, hakuna kilimo, ufugaji wala kazi nzito kama vijijini!
Dar wanatumia akili zaidi, kupitia elimu zao boss kwenye kazi zao na uzalishaji wa kawaida au biashara...
 
Wale wataalam wa lishe au wale wataalam wa mahesabu, cross multiplication HiI Imekaaje.

Wote ni watanzania ila matumbo mengine yanapokea full tank.

Niko mkoa ambao sitautaja,nimeshuhudia mtu na mkewe wakipija wali kilo mbili na kubakiza kidogo sana,kwa uzoefu wangu wakuishi Dar kili mbili tulikuwa tukilafamilianzima ya watu nane na unabaki kidogo kiporo cha watoto asubuhí.

Hii imekaaje
Dar asilimia kubwa watu hawafanyi kazi ngumu . Mikoani watu huko wanalima sana na kazi zingine za nguvu.
 
Wale wataalam wa lishe au wale wataalam wa mahesabu, cross multiplication HiI Imekaaje.

Wote ni watanzania ila matumbo mengine yanapokea full tank.

Niko mkoa ambao sitautaja,nimeshuhudia mtu na mkewe wakipija wali kilo mbili na kubakiza kidogo sana,kwa uzoefu wangu wakuishi Dar kili mbili tulikuwa tukilafamilianzima ya watu nane na unabaki kidogo kiporo cha watoto asubuhí.

Hii imekaaje
Dar watu wanaishi kwa bajeti hawaendekezi kula kula hovyo.

Ndio maana wengi dar wamepiga hatua za kimaisha.
 
Wale wataalam wa lishe au wale wataalam wa mahesabu, cross multiplication HiI Imekaaje.

Wote ni watanzania ila matumbo mengine yanapokea full tank.

Niko mkoa ambao sitautaja,nimeshuhudia mtu na mkewe wakipija wali kilo mbili na kubakiza kidogo sana,kwa uzoefu wangu wakuishi Dar kili mbili tulikuwa tukilafamilianzima ya watu nane na unabaki kidogo kiporo cha watoto asubuhí.

Hii imekaaje
Dar wali unaliwa na mboga Saba. Huko kwenu usweken mna ula na Nini?
 
Pishi la Dar, wali una mboga tofauti tofauti,kuna matunda na kuna ka juice baridi. Mkoani wali na mboga moja
 
Kula karanga, korosho, pweza, sambusa, mishikaki, maziwa, mayai, matunda kwa muda tofauti katika siku sio kula hovyo hovyo, hivi ni aina ya vyakula vyenye virutubisho vingi muhimu lakini pia visivyo na side effects nyingi vikizidi. Kula hovyo ni ulaji wa vyakula vya sukari, junk foods na kushindilia tumbo mikate, chapati, ugali au wali katika mlo mmoja.
Kwa nini hivyo vitu usinunue ukahifadhi Hom, Uwe unaandaliwa, kumbuka hivi vya kununua vikiwa tayari vimeandaliwa(mfano kula kwa mama ntilie sio salama)

Vuta picha mama ntilie anaweka panadol/magadi kwenye maharage ili yaive haraka
Unawekewa Bia kwenye nyama ili iive haraka
Hao wauza supu ya Pweza wanachanganya na Viagra ili watumiaji tuamini supu ya pweza inaongeza nguvu za kiume

Mpaka wauza karanga eti wanatumia kemikali kwa ajili ya kukaanga karanga
Hapo hatujahusisha uchafu tunaolishwa kutokana na imani za kishirikina (kutumia maji yaliooshewa maiti)

Unanunua vitumbua mpishi kachambia sehemu za siri tukiachana na hizi chapati ambazo tunashuhudia wanatumia vipande vya godoro

Wale wa juisi ya miwa hatujui yale maji wanayogandishia barafu usalama wake upoje hii ni moja ya sababu inayonifanya niwaambie wanikamulie yamoto na huwa nakuwa makini haswa

Binafsi nimemuelewa sana mke wangu kuniletea rafiki yake awe ananipikia, na anajua kupika haswa kama yeye mwenyewe

Kazi yangu ni kununua mahitaji ya kuwekwa kwenye friji yatawekwa muhimu nile kilicho salama tu

Hata juisi hataki ninunue ananiambia tu lete matunda nitakutengemezea juisi unayohitaji

Tukirudi huko mahotelini, hatujui mazingira ya jikoni yapoje

Binafsi nimekula kwa mama ntilie miaka si chini ya 20
Ila naamini chakula salama ni kile unachokiandaa au kinachoandaliwa na mtu anayekujali, sio hivi vya biashara

Note: KUNA MAZINGIRA YANATULAZIMU KULA HIVYO VYAKULA VILIVYOANDALIWA TAYARI HATA KAMA SI SALAMA KWA 100% ILA NDO HIVYO HATUNA JINSI TUNAAMUA TU LIWALO NA LIWE
 
Uwezo wa mtu kula mara nyingi huchagizwa na hali ya hewa
Kwa namna yoyote hakuna mtu alie mazingira ya joto ataweza kula kunizidi mimi nilie mazingira ya baridi,labda wale abnormal
 
Kwa nini hivyo vitu usinunue ukahifadhi Hom, Uwe unaandaliwa, kumbuka hivi vya kununua vikiwa tayari vimeandaliwa(mfano kula kwa mama ntilie sio salama)

Vuta picha mama ntilie anaweka panadol/magadi kwenye maharage ili yaive haraka
Unawekewa Bia kwenye nyama ili iive haraka
Hao wauza supu ya Pweza wanachanganya na Viagra ili watumiaji tuamini supu ya pweza inaongeza nguvu za kiume

Mpaka wauza karanga eti wanatumia kemikali kwa ajili ya kukaanga karanga
Hapo hatujahusisha uchafu tunaolishwa kutokana na imani za kishirikina (kutumia maji yaliooshewa maiti)

Unanunua vitumbua mpishi kachambia sehemu za siri tukiachana na hizi chapati ambazo tunashuhudia wanatumia vipande vya godoro

Wale wa juisi ya miwa hatujui yale maji wanayogandishia barafu usalama wake upoje hii ni moja ya sababu inayonifanya niwaambie wanikamulie yamoto na huwa nakuwa makini haswa

Binafsi nimemuelewa sana mke wangu kuniletea rafiki yake awe ananipikia, na anajua kupika haswa kama yeye mwenyewe

Kazi yangu ni kununua mahitaji ya kuwekwa kwenye friji yatawekwa muhimu nile kilicho salama tu

Hata juisi hataki ninunue ananiambia tu lete matunda nitakutengemezea juisi unayohitaji

Tukirudi huko mahotelini, hatujui mazingira ya jikoni yapoje

Binafsi nimekula kwa mama ntilie miaka si chini ya 20
Ila naamini chakula salama ni kile unachokiandaa au kinachoandaliwa na mtu anayekujali, sio hivi vya biashara

Note: KUNA MAZINGIRA YANATULAZIMU KULA HIVYO VYAKULA VILIVYOANDALIWA TAYARI HATA KAMA SI SALAMA KWA 100% ILA NDO HIVYO HATUNA JINSI TUNAAMUA TU LIWALO NA LIWE
Hofu yangu ni usalama wa huyo rafiki wa mkeo,mtu akikupikia kuna bond fulan hivi inajengeka kati yenu,chakula ni kitu kidogo ila kina influence sana kwenye mahusiano,haitomtamani kweli shemeji yako kupitia misosi yake mitamu
 
Hofu yangu ni usalama wa huyo rafiki wa mkeo,mtu akikupikia kuna bond fulan hivi inajengeka kati yenu,chakula ni kitu kidogo ila kina influence sana kwenye mahusiano,haitomtamani kweli shemeji yako kupitia misosi yake mitamu
Hamna mkuu siwezi, najiheshimu pia namuheshimu, kingine mke wangu ni mzuri kuliko yeye, pia nimezungukwa na mashemeji wazuri wazuri kitu kinachofanya nione kawaida tu
 
Back
Top Bottom