Dar es Salaam kilo moja ya mchele wanashiba watu wanne, Mikoani kilo moja mtu mmoja tatizo liko wapi?

Dar es Salaam kilo moja ya mchele wanashiba watu wanne, Mikoani kilo moja mtu mmoja tatizo liko wapi?

Watu wenye uchumi mzuri hawawezi kula kilo moja ya wali watu wawili,
Nnavyojua mimi ukiwa na uhakika wa kula basi utakuwa huli sana

Yaani unatembea na 300k mfukoni ipo tu kama dharula, yaani una 300k haina bajeti ipo ipo tu kwenye waleti home umeacha mazaga kama yote na una uhakika wa kula, basi amini huwezi kula hovyo hovyo
 
Nnavyojua mimi ukiwa na uhakika wa kula basi utakuwa huli sana

Yaani unatembea na 300k mfukoni ipo tu kama dharula, yaani una 300k haina bajeti ipo ipo tu kwenye waleti home umeacha mazaga kama yote na una uhakika wa kula, basi amini huwezi kula hovyo hovyo
Hiyo ni kweli
 
Ukienda kwenye restaurant standard mfano ukaagiza ugali na sato, unaletewa kaugali kadogo sato rost mkubwa na mbogamboga lazima ushibe vizuri tu.

Lakini ule ulaji wa mjumbani kwetu ugali na nyama na finyango mbili ni lazima utakula ugali mwingi.

Kimsingi mboga hazitakiwi kupunguwa tatu na shida siyo umaskini bali uvivu wa majumbani mwetu hawataki kupika muda mrefu, mimi ni kawaida kwangu kwenye friji kabichi na mchicha bwasi kukuta vimeharibika navitupa kwenye dustbin.
Kweli kabisa.

Cc Smart911
 
Binadamu anayejielewa vizuri ndio anatakiwa kula hivyo, sio kujishindilia wali au ugali tu kama tumbo lako ni debe, kula vitu vingi vyenye virutubisho mbalimbali hakuna shida ila kujaza tumbo kwa mlo wenye virutubisho vya aina moja ni matatizo.
Sawa, endelea kula hiyo miguu ya kuku na mishikaki ukashike jembe.
 
Nnavyojua mimi ukiwa na uhakika wa kula basi utakuwa huli sana

Yaani unatembea na 300k mfukoni ipo tu kama dharula, yaani una 300k haina bajeti ipo ipo tu kwenye waleti home umeacha mazaga kama yote na una uhakika wa kula, basi amini huwezi kula hovyo hovyo
Kula karanga, korosho, pweza, sambusa, mishikaki, maziwa, mayai, matunda kwa muda tofauti katika siku sio kula hovyo hovyo, hivi ni aina ya vyakula vyenye virutubisho vingi muhimu lakini pia visivyo na side effects nyingi vikizidi. Kula hovyo ni ulaji wa vyakula vya sukari, junk foods na kushindilia tumbo mikate, chapati, ugali au wali katika mlo mmoja.
 
Sawa, endelea kula hiyo miguu ya kuku na mishikaki ukashike jembe.
Ukulima wa kushika jembe ni kilimo cha ujima cha zamani sana kilichopitwa na wakati, hakuna sifa katika kilimo cha hivyo.
 
Hayo madonda yanataka antioxidant,

Tumia alkaline kwa wingi kupitia limao, tumia pilipili usidanganywe kwamba pilipili haifai kwa hayo madonda, dawa ya moto ni moto.

Tumia na Acid reducer hayobmadonda yatakukoma kabisa, utakula misosi yote pilau, dagaa maharagwe.

Ila machungwa na juice yake achana nayo yana citric acid nyingi mbaya kwako.

Dawa yako kuu ni limao, Alkaline ndio anti diseas namba one muulize daktari yeyote unayemuamini.
Mkuu mm hata uwe umenidanganya nitafanya maana imekuwa noma sasa
 
Wale wataalam wa lishe au wale wataalam wa mahesabu, cross multiplication HiI Imekaaje.

Wote ni watanzania ila matumbo mengine yanapokea full tank.

Niko mkoa ambao sitautaja,nimeshuhudia mtu na mkewe wakipija wali kilo mbili na kubakiza kidogo sana,kwa uzoefu wangu wakuishi Dar kili mbili tulikuwa tukilafamilianzima ya watu nane na unabaki kidogo kiporo cha watoto asubuhí.

Hii imekaaje
Si useme tu kuwa upo Shinyanga!
 
Yuko sahihi nimewahi ishi Tukuyu pale ni baridi nilikuwa nachapa msosi hadi najishangaa,wakati home ni Kyela kule ni joto , msosi hatufukii kihivyoo .
Nilizani kanipiga na kitu kizito 😂😂😂ila tatizo linakuwa wapi hadi inatokea hivyo ??🤔
 
Hao wote hamna kitu.Waje hapa ninapoishi wapate tuisheni.Unga kilo kadhaa unapikwa ugali halafu unakatwa kidogo ndiyo unakuwa mboga.Yaani tunakula ugali mkubwa kwa kutoeza kwenye ugali mdogo kama mboga.
 
Hapo unakuwa unakula wali peke yake au pamoja na vyakula vingine kama nyama/samaki, mboga za majani na matunda pamoja na vinywaji?



Yes , Ila naona umegusia classic family and not commoners families

Kama utapata
Nyama
Matunda
Maji safi

Basi wali robo utakuwa mwingi Ila ukila wali robo na finyango moja au mbili za nyama bila matunda n.k basi robo ya wali itakuwa nyingi Sana.
 
Back
Top Bottom