Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Nimelipenda swali lako..!! Hiyo sasa ni sherehe ya kipaimara..!!Kwamba familia ya watu 8 inakula kilo nane mlo mmoja?
CC mdukuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimelipenda swali lako..!! Hiyo sasa ni sherehe ya kipaimara..!!Kwamba familia ya watu 8 inakula kilo nane mlo mmoja?
Kwani chaniiiiiii..!!??
Hayo madonda yanataka antioxidant,Mm nakulaga kdg sana na kwakwel sipend kula kdg, mm napenda nle sana yan nijaze bas tu madonda ya tumbo yananinyima appetite
Ukienda kwenye restaurant standard mfano ukaagiza ugali na sato, unaletewa kaugali kadogo sato rost mkubwa na mbogamboga lazima ushibe vizuri tu.
Wife akipika chakula huwa akibakiMapishi nayo yanachangia. Kuna mtu anapika nusu kilo ya mchele mnakula watu wanne na mnashiba vizuri na kunaweza baki.
Wengine wameenda mbali wanahusisha na roho ya mtu, mara ukarimu. Mambo ni mengi hapo.
Ni kama ilivyo kuna mtu akipika chakula kinaweza kukaa hadi siku mbili kisiharibike ila mwengine kikilala tu kishaharibika.
Ni umasikini kwa kiasi kikubwa na pia kuna suala la ukosefu wa elimu bora ya lishe, mikoa mingi ambayo ina utapiamlo huwa wanazalisha sana mahindi na mchele pamoja na maharage pia, wanaweza kufuga kuku pia wakapata hata mayai ya kuweka kwenye uji wa watoto wao, sasa cha ajabu hawayapi umuhimu maharage kwenye diet zao, wamekaririshwa utoshelevu wa chakula ni kuwa na magunia ya mahindi na mchele tu ndani. Hata serikali sidhani kama huwa inanunua maharage, mbaazi, dengu na kunde kuhifadhi kama sehemu ya kuweka akiba ya chakula katika nchi.Watu masikini wanakula vyakula vyenye wanga mwingi (ugali, wali) kujaza matumbo na kupata energy.
Wakati lishe bora haitaki wanga mwingi sana, inataka virutubisho, protein, vitamins, minerals. Ambazo hizi zinapatikana katika mboga/ kitoweo.
Watu wenye uchumi mzuri hawawezi kula kilo moja ya wali watu wawili,Kaka kwenye swala la kula inategemeana na hali ya kiuchumi huk huk mjini kuna watu uchumi umekaa vizuri kilo moja inaliwa na watu wawili japo unakuta kuna mazaga zaga kibao sasa njoo huku mkoa wa mara WATU HAWAAMINI KAMA WALI NA CHAKULA CHA KUSHINDIA yaani wanaamini wali ni kifungua kinywa tu means ukipika wali lazima upike na ugali au aidha aanze na ugali ndio amalizie cha mtume. The same na watu wa kilombero njoo huku malinyi ndani ndani maeneo kama biro, ngoheranga, tanga, kilosa kwa mpepo wat wanaamini wakila ugali wanakojoa saana hvyo chakula chao ni ubwabwa tu. Hvyo ni mazingira tu.
Binadamu anayejielewa vizuri ndio anatakiwa kula hivyo, sio kujishindilia wali au ugali tu kama tumbo lako ni debe, kula vitu vingi vyenye virutubisho mbalimbali hakuna shida ila kujaza tumbo kwa mlo wenye virutubisho vya aina moja ni matatizo.Sasa huko Dar kila muda wanakula tu na hawana kipimo. Mtu akitoka mishe kabla ya kufika nyumbani unakuta kashabugia sambusa, mishkaki, uji na pweza. Unategemea ukimpa huo wali ½ atamaliza?
Robo ya mchele inatakiwa iliwe na watu wawili.Nadhani aina ya kazi MTU anafanya then aina ya mapishi .
Kiufupi robo ya mchele inamtosha MTU mmoja ikiwa haufanyi Kazi ngumu.
Kilo moja(1) ya mchele inatakiwa kuliwa na watu nane(8)
Kwa watoto wadogo Iabda mkuuRobo ya mchele inatakiwa iliwe na watu wawili.
Hapo unakuwa unakula wali peke yake au pamoja na vyakula vingine kama nyama/samaki, mboga za majani na matunda pamoja na vinywaji?Kiwastani kilomoja ni watu wanne.
Watu wazimaAhaa watoto au watu wazima