johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Same to you mama D!Happy Sunday YohaneMbatizaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Same to you mama D!Happy Sunday YohaneMbatizaji
Tatizo lako linaanzia pale unapowaza kuwa ulimwengu ni nchi nyingine na ndizo zinastahili kusikilizwa tu kwa kila jambo wakati unajua kabisa kuwa Tanzania kama sehemu ya ulimwengu nayo inapaswa kusikilizwa na nchi nyingine!Semeni ukweli uwaweke huru, Tanzania ni sehemu ya ulimwengu sisi sio kisiwa kilichopo sayari nyingine
Tatizo lako huwaga haushirikishi ubongo wakoKwani barakoa ni dawa?
Huyo hauna haja ya kumstahi wewe mlipue tuUmeanza matusi, tabia hiyo naona inaanza kukuvamia. Muulize huyo kama nabwabwaja, utapata ushahidi mwema. Jpili nakustahi kidogo, ukizidi nakulipua, potelea mbali
Hawana njia zaidi ya kuabudu na kuabuduTayari mataga mmekiri Yesu ni bwana.
Tupe uzoefu wa vumbi la Ufipa bwashee!Tayari mataga mmekiri Yesu ni bwana.
Manka umeshafura!Huyo hauna haja ya kumstahi wewe mlipue tu
NonsenseTupe uzoefu wa vumbi la Ufipa bwashee!
Scientific proof iko wapi kuwa Corona haipo?Tulisha piga maombi na Mungu akatujibu kwa kuisambaratisha corona
Watu wamepewa trainining jinsi ya ku address covid-19 kiaina, zamani tulifundishwa tukipita vichakani tusitamke neno "nyoka" walisema ni vibaya![emoji55][emoji846][emoji55][emoji846]Ujumbe umefika in other way around. Asante kaka
Akishasema malaika mkuu hakuna cha scientific proofScientific proof iko wapi kuwa corona haipo?
Huyo ni biandamu kama binadamu wengine. Malaika mkuu yuko mbinguni sio duniani.Akishasema malaika mkuu hakuna cha scientific proof
Kuwa sehemu ya ulimwengu haina maana kila kilichopo au kinachotokea sehemu nyengine basi lazima kitokee na kwako,ingekuwa hivyo basi pia tungeona athari za corona tulizoona China,ulaya na kwingineko kutokea na huku afrika maana ni sehemu ya ulimwengu.Hilo vumbi itakuwa ndio limeanza mwaka huu, miaka iliyopita hapakuwahi kuwa na vumbi dsm au labda barakoa zilikuwa bado hazijatengenezwa?!
Semeni ukweli uwaweke huru, Tanzania ni sehemu ya ulimwengu sisi sio kisiwa kilichopo sayari nyingine.