Dar es Salaam kuna vumbi sana kipindi hiki ila ukivaa Barakoa na kunawa mikono unaonekana mshamba!

Dar es Salaam kuna vumbi sana kipindi hiki ila ukivaa Barakoa na kunawa mikono unaonekana mshamba!

Aina hili la vumbi limekuwa maarufu sana kuliko mavumbi ya aina nyengine yote japokuwa wenye kupata mafua kutokana na vumbi hili wengi hupona ila bado watu huliogopa na kuliongelea hili vumbi kuliko mavumbi mengine,pamoja na uchache wa vifo vya mafua yenye kusababishwa na hili vumbi ila vifo hivyo hutisha sana watu kuliko wingi wa vifo vya mafua yenye kusababishwa na mavumbi ya aina nyengine.
 
Hilo vumbi itakuwa ndio limeanza mwaka huu, miaka iliyopita hapakuwahi kuwa na vumbi dsm au labda barakoa zilikuwa bado hazijatengenezwa?!

Semeni ukweli uwaweke huru, Tanzania ni sehemu ya ulimwengu sisi sio kisiwa kilichopo sayari nyingine.
Kabisa yaaani
 
Kiukweli Dar es Salaam kipindi hiki kuna joto na vumbi kali linalopulizwa na upepo wa hapa na pale.

Kwa kawaida vumbi hubeba vijidudu vya kila aina hasa ukizingatia wakazi wa Dar wana tabia ya kutema mate na kupenga kamasi hovyo hovyo tu.

Japokuwa ukivaa barakoa unaonekana " wakuja" lakini kwa vumbi hili heri lawama kuliko fedheha, barakoa na kunawanawa ni muhimu ili utembee salama barabara za vumbi.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Pole pole amekuruhusu kuandika uzi wa kuikwepa corona au umejilipua tu
 
Na jioni watu wanywe maji moto Maana kuna kabaridi sana ni muhimu watu wakaachana na vinywaji vya baridi
 
Kiukweli Dar es Salaam kipindi hiki kuna joto na vumbi kali linalopulizwa na upepo wa hapa na pale.

Kwa kawaida vumbi hubeba vijidudu vya kila aina hasa ukizingatia wakazi wa Dar wana tabia ya kutema mate na kupenga kamasi hovyo hovyo tu.

Japokuwa ukivaa barakoa unaonekana " wakuja" lakini kwa vumbi hili heri lawama kuliko fedheha, barakoa na kunawanawa ni muhimu ili utembee salama barabara za vumbi.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Na wewe unaogopa kusema corona ipo hadi usingizie vumbi? Vumbi la Dar umeliona mwaka huu pekee? Lakini afadhali umeona na kubaini uongo wa viongozi wako wa CCM kuhusu corona, chukua hatua hata CCM wakikuona mshamba ilimradi hakuna sheria ya kukuzuia kuvaa barakoa.
 
Kiukweli Dar es Salaam kipindi hiki kuna joto na vumbi kali linalopulizwa na upepo wa hapa na pale.

Kwa kawaida vumbi hubeba vijidudu vya kila aina hasa ukizingatia wakazi wa Dar wana tabia ya kutema mate na kupenga kamasi hovyo hovyo tu.

Japokuwa ukivaa barakoa unaonekana " wakuja" lakini kwa vumbi hili heri lawama kuliko fedheha, barakoa na kunawanawa ni muhimu ili utembee salama barabara za vumbi.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Joni siutuambie kuna neunonia tuu inayoenea kama kale kaugonjwa kama fua.
 
Jiandae kuchukuliwa hatua kali za kisheria kwa kutangaza ugonjwa huu wakati huna mamlaka hayo. Tumefikia mahali hakuna ruhusa ya kuusema ukweli kwa ajili ya kulinda sifa za kisiasa.
Wametoka mpaka number za simu eti ukiona mtu anaongelea huu ugonjwa kwenye magroup screenshot alafu utume kwa nambers zao🥶🤐
Nchi za wenzetu mtu wa/familia ya taifa lao akitishiwa maisha au akitekwa tu vyombo vinavyohisika vinahangaika kuokoa maisha ya huyo mtu au familia yake no matter what it's gonna take lakini bongo serikali halilitambui hilo jukumu lake.
 
Wametoka mpaka number za simu eti ukiona mtu anaongelea huu ugonjwa kwenye magroup screenshot alafu utume kwa nambers zao🥶🤐
Nchi za wenzetu mtu wa/familia ya taifa lao akitishiwa maisha au akitekwa tu vyombo vinavyohisika vinahangaika kuokoa maisha ya huyo mtu au familia yake no matter what it's gonna take lakini bongo serikali halilitambui hilo jukumu lake.
Tuna pelekwa kama kondoo na mtu mmoja
 
Back
Top Bottom