Kabisa yaaaniHilo vumbi itakuwa ndio limeanza mwaka huu, miaka iliyopita hapakuwahi kuwa na vumbi dsm au labda barakoa zilikuwa bado hazijatengenezwa?!
Semeni ukweli uwaweke huru, Tanzania ni sehemu ya ulimwengu sisi sio kisiwa kilichopo sayari nyingine.
Pole pole amekuruhusu kuandika uzi wa kuikwepa corona au umejilipua tuKiukweli Dar es Salaam kipindi hiki kuna joto na vumbi kali linalopulizwa na upepo wa hapa na pale.
Kwa kawaida vumbi hubeba vijidudu vya kila aina hasa ukizingatia wakazi wa Dar wana tabia ya kutema mate na kupenga kamasi hovyo hovyo tu.
Japokuwa ukivaa barakoa unaonekana " wakuja" lakini kwa vumbi hili heri lawama kuliko fedheha, barakoa na kunawanawa ni muhimu ili utembee salama barabara za vumbi.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Corona ni aina ya mafua bwashee au wewe ni mgeni hapa duniani?Kwani ukisema [emoji1241] **** corona, nini tatzo?
Habari ya Corona ameandika bwashee Mbowe kule twitter!Pole pole amekuruhusu kuandika uzi wa kuikwepa corona au umejilipua tu
mtu ana miaka 65 asipojificha corona itammalizaHivi Mayalla yupo kweli?
Yuko chuo cha uongozi Kibaha!Hivi Mayalla yupo kweli?
Kwani Askofu Mwamakuala anasemaje?Acha zako, talalilla, sema kuna Corona, kuwa muwazi, sema we need to observe measure against Corona as stipulated by WHO. Stop Magufulis' indoctrination about Corona!
Na wewe unaogopa kusema corona ipo hadi usingizie vumbi? Vumbi la Dar umeliona mwaka huu pekee? Lakini afadhali umeona na kubaini uongo wa viongozi wako wa CCM kuhusu corona, chukua hatua hata CCM wakikuona mshamba ilimradi hakuna sheria ya kukuzuia kuvaa barakoa.Kiukweli Dar es Salaam kipindi hiki kuna joto na vumbi kali linalopulizwa na upepo wa hapa na pale.
Kwa kawaida vumbi hubeba vijidudu vya kila aina hasa ukizingatia wakazi wa Dar wana tabia ya kutema mate na kupenga kamasi hovyo hovyo tu.
Japokuwa ukivaa barakoa unaonekana " wakuja" lakini kwa vumbi hili heri lawama kuliko fedheha, barakoa na kunawanawa ni muhimu ili utembee salama barabara za vumbi.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Mwanzoni mlipotuambia tuvae mlijua ni dawa?Kwani barakoa ni dawa?
Joni siutuambie kuna neunonia tuu inayoenea kama kale kaugonjwa kama fua.Kiukweli Dar es Salaam kipindi hiki kuna joto na vumbi kali linalopulizwa na upepo wa hapa na pale.
Kwa kawaida vumbi hubeba vijidudu vya kila aina hasa ukizingatia wakazi wa Dar wana tabia ya kutema mate na kupenga kamasi hovyo hovyo tu.
Japokuwa ukivaa barakoa unaonekana " wakuja" lakini kwa vumbi hili heri lawama kuliko fedheha, barakoa na kunawanawa ni muhimu ili utembee salama barabara za vumbi.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Wametoka mpaka number za simu eti ukiona mtu anaongelea huu ugonjwa kwenye magroup screenshot alafu utume kwa nambers zao🥶🤐Jiandae kuchukuliwa hatua kali za kisheria kwa kutangaza ugonjwa huu wakati huna mamlaka hayo. Tumefikia mahali hakuna ruhusa ya kuusema ukweli kwa ajili ya kulinda sifa za kisiasa.
Tuna pelekwa kama kondoo na mtu mmojaWametoka mpaka number za simu eti ukiona mtu anaongelea huu ugonjwa kwenye magroup screenshot alafu utume kwa nambers zao🥶🤐
Nchi za wenzetu mtu wa/familia ya taifa lao akitishiwa maisha au akitekwa tu vyombo vinavyohisika vinahangaika kuokoa maisha ya huyo mtu au familia yake no matter what it's gonna take lakini bongo serikali halilitambui hilo jukumu lake.
nimekuelewaThis year mvua inasumbua.
Kumekuwa na vumbi sana...
Hivyo tuvae barakoa.