Sasa walilalaje Nyumbani? Hawakujua hayo? Nyie nao washamba tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa walilalaje Nyumbani ? Hawakujua hayo? Nyie nao washamba tu
Hapana mkuu tumkatae shetani shoga na tabia zake.Tukamkatae Shetani Jiwe na mambo yake yote.
Kawe haipingikiKwa Dar
Chadema watashinda
1. Kawe
2. Ubungo...
DaaaNimeshapiga kura na nimekuwa wa kwanza kabisa kwenye kituo changu.
#TL [emoji3577][emoji3577][emoji3577]
Magufuli ni muuwaji dunia mzima inajua aliyo yafanya Pemba janaKila la kheri kwa wagombea woteeeee...
[emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577]Kila la kheri kwa wagombea woteeeee
Chaguo la Mungu leo anapewa kura za kuweka historia.. kwa kufuatiwa na wagombea wake woteee wa Chama Chake[emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169]
Tunasubiri kwa furaha sana.. maana
Magufuli ni Baba lao[emoji817][emoji817][emoji817].. dunia nzima anaitetemesha..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa walilalaje Nyumbani ? Hawakujua hayo? Nyie nao washamba tu
Chadema hawachukui jimbo lolote Dar. Usijisumbue.Kwa Dar
Chadema watashinda
1. Kawe
2. Ubungo...