Siyo kweli bwana kwamba kuichukia ccm ni ugaidi....rejea Simba na YangaWewe siyo mjinga tu Bali ni mpumbavu na mshenzi pamoja...una vimelea vya ugaidi na ushetani kwa ujumla wake
pole kwa wafiwaView attachment 1603369
Mhadhiri wa Shule ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. James Jess amefariki dunia ghafla akiwa nyumbani kwake Tabata Jijini Dar es Salaam mchana wa leo.
Aidha, Dkt. James Jess alikuwa miongoni mwa watia nia katika Jimbo la Segerea kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi.
= Taarifa zaidi kufuatia =Pia soma
> Dkt. James Jesse (Mhadhiri UDSM): Siku hizi unakamatwa bila kibali na huwezi kupinga
Ohooooo!!!presha ya madeni
unajikuta umeuza nyumba,umekopa na hata kazi umeacha na pale clinic hautakiwi
matokeo yake hakuna ubunge,hakuna uheshimiwa,hakuna shangingi hakuna totoz za udsm na wala Polepole hapokei simu tena..
ni bill za madeni na kukimbiwa.
BTW haya ni mawazo ya masikini.
Alikuwa mtaalam wa hizo mambo, alidaka wengi sana aisee.Aisee Rest in peace Human Right Fighter...
Tuta baki na memories za compendium ya Human Right regional na international laws.
Ipo sana tuHivi shida ya upumuaji bado ipo au imeshakwisha?
Yaani tunadanganywa tu. Mungu anawaona wadanganyifu hao. Sijajua lengo haswa.Ipo sana tu
siasa inagawanyisha watuWewe siyo mjinga tu Bali ni mpumbavu na mshenzi pamoja...una vimelea vya ugaidi na ushetani kwa ujumla wake
Duhkama alikuwa kwenye siasa inawezekana karogwa maana siasa na uchawi vinatembea barabara moja
ndo hivyo mzeeDuh
Ova
RIP
Mhadhiri wa Shule ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. James Jess amefariki dunia ghafla akiwa nyumbani kwake Tabata Jijini Dar es Salaam mchana wa leo.
Aidha, Dkt. James Jess alikuwa miongoni mwa watia nia katika Jimbo la Segerea kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi.
= Taarifa zaidi kufuatia =Pia soma
Kuna vyama viwili Peponi na Motoni usajili dunianiHuko hakuna mambo ya vyama, ni malipo ya mema au mabaya.
Alikuwa pia anamsaidia Gamalieli Mgongo Fimbo kwenye Land LawAlikuwa mtaalam wa hizo mambo, alidaka wengi sana aisee.
Ingekuwa Pepo ni ya kichama, huu upuuzi ulioandika ni Sawa!Hivi ukifa hali mwanachama wa Ccm utaenda peponii?
RIP mimi nimekusamehe