TANZIA Dar es Salaam: Mhadhiri wa Law school wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Dkt. James Jess afariki dunia

TANZIA Dar es Salaam: Mhadhiri wa Law school wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Dkt. James Jess afariki dunia

presha ya madeni

unajikuta umeuza nyumba,umekopa na hata kazi umeacha na pale clinic hautakiwi

matokeo yake hakuna ubunge,hakuna uheshimiwa,hakuna shangingi hakuna totoz za udsm na wala Polepole hapokei simu tena..

ni bill za madeni na kukimbiwa.

BTW haya ni mawazo ya masikini.
 
Wewe siyo mjinga tu Bali ni mpumbavu na mshenzi pamoja...una vimelea vya ugaidi na ushetani kwa ujumla wake
Siyo kweli bwana kwamba kuichukia ccm ni ugaidi....rejea Simba na Yanga
 
presha ya madeni

unajikuta umeuza nyumba,umekopa na hata kazi umeacha na pale clinic hautakiwi

matokeo yake hakuna ubunge,hakuna uheshimiwa,hakuna shangingi hakuna totoz za udsm na wala Polepole hapokei simu tena..

ni bill za madeni na kukimbiwa.

BTW haya ni mawazo ya masikini.
Ohooooo!!!
 
Aisee Rest in peace Human Right Fighter...
Tuta baki na memories za compendium ya Human Right regional na international laws.
Alikuwa mtaalam wa hizo mambo, alidaka wengi sana aisee.
 
Hapo kwenye ghafla hapo!
[emoji3480][emoji780][emoji845][emoji780][emoji780][emoji845][emoji845]
 
Back
Top Bottom