TANZIA Dar es Salaam: Mhadhiri wa Law school wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Dkt. James Jess afariki dunia

TANZIA Dar es Salaam: Mhadhiri wa Law school wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Dkt. James Jess afariki dunia

Narudia wewe ni mjinga, mpumbavu, mshenzi na pia una vimelea vya ugaidi na ushetani...huna utu wewe..una elements za unyama au mnyama kwa hakika asiyejua mema na mabaya...
Kuna mwanaccm mwenye UTU?
 
Duu nimesikia Jaji Mstahafu Maina naye amefariki .RIP jamani
 

Mhadhiri wa Shule ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. James Jess amefariki dunia ghafla akiwa nyumbani kwake Tabata Jijini Dar es Salaam mchana wa leo.

Aidha, Dkt. James Jess alikuwa miongoni mwa watia nia katika Jimbo la Segerea kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi.

= Taarifa zaidi kufuatia =
Pia soma
Pole sana kwa familia. Inasikitisha sana. Huyu alikuwa mpambanaji. Na hata huko kutia Mia lengo lilikuwa kuwatafutia watoto wake mkate na Siagi. Mungu awape faraja familia yake.
 
Back
Top Bottom