Dar es Salaam: Nyumba yapigwa mnada kwa kushindwa kulipa milioni 7

Wagalatia ni watu gani mkuu.


YESU NI KRISTO
 
uko sahihi kabisa maana millioni 6 miaka mi3 dah !
 
hapo hapo walitoa kidogo wakaila nyingine wakalipia ada watoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hiyohiyo pesa ya mkopo
 
Niseme mara ngapi?nitakaa nanyi mpaka lini enyi wenye imani haba?? Kuwa usikope kuanzisha biashara. Hasa hasa kwa kutegemea biashara hiyo ndo irejeshe mkopo. Kopa kuendeleza biashara.
Tatizo la Wabongo wanapenda sana biashara za kuigana,wengi hawana ubunifu wao kama wao!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Wabongo wengi kwenye masuala ya mikopo si waaminifu,wanasingizia korona kwani nchi yetu ilikuwa locked kama Kenya?
 
Niliona picha ya hiyo nyumba sehemu wahuni wamezurumu nyumba sio ya 7m ile hata familia wangeamua kuuza wenyewe huko kimara kwanza pana kiwanja kikubwa vile cha 7m daslm watu wezi sana....pana vitu tutavijua zaidi huko mbele...
hakuna kitu hapo kifupi wajipange upya tu ,hii ishu kwa nilivyosoma maelezo nimeelewa ishu hii imepita mahakamani na mahama lazima iliita pande zote mbili wakazisikiliza na mahakama wakatoa muda wahusika walipe na wahusika hawakufanya hivyo pili ilikaziwa hikumu hapo ndipo mahakama ikajirizisha kwa kutoa Amri ya kuuza dhamana zilizowekwa kufidia deni na gharama zote za ufunguaji wa kesi na kesi yenyewe vinalipwa na mkopaji .hivyo usitegemee jipya ilibidi mkopaji afungue kesi kabla nyumba haijauzwa labda kidogo pangekua na uchelewaji wa amri ya mahakama .kifupi dawa ya deni ni kulipa hakuna ujanja mwingine na kabla ya kukopa soma vizuri mkataba
 
Wabongo wengi kwenye masuala ya mikopo si waaminifu,wanasingizia korona kwani nchi yetu ilikuwa locked kama Kenya?
Mbona hata Serekali yetu nayo pia inasingizia Corona na Vita vya Ukraine imesababisha vitu kupanda bei!? Yaani uzuri wa Mtanzania huwa hakosi sababu ya kusingizia!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
watu wengi wanaochangia hawaionei huruma hiyo kampuni iliyotoa pesa wao wanoionea huruma familia iliyouziwa nyumba tu !hivi millioni 6 kwa miaka mitatu wamepeleka rejesho moja tu?hivi watu walitakeje hapo kampuni ifanyeje ?
Hao wamiliki wa nyumba ni matapeli kama matapeli wengine kwa kitendo tu mke kwenda kukopa badala mme au wote kwa pamoja mme akiongoza utaiona janja yao
 
Kama wanawatoto hakuna mtoto hapo atayekuwa anaenda kanisani tena na utopolo wa dini ndio umeishia hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…