Dar es Salaam: Nyumba yapigwa mnada kwa kushindwa kulipa milioni 7

Dar es Salaam: Nyumba yapigwa mnada kwa kushindwa kulipa milioni 7

Nina miaka 15 sijaingia kanisani. Huyu ni muumini, mtoa fungu la kumi kwa uhakika. Lakini leo ataishi kama mtumwa kwa kukosa makazi, kisa mkopo wa kutoka kanisani.
Hiyo ndio kazi ya makanisa kwanza kumfanya mwanamke kuwa mbele ya mumewe na ujuaji usiokuwa na tija alipo ona watu wanamiliki maduka ya nguo akadhani walikopa kanisani kwao [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Nimeshuhudia mwaka huu mwanzoni ndugu yangu naye ilibakia ponya ponya nyumba yake iuzwe tukaingilia kati,ila hii ilikuwa ni taasisi ya kiserikali.Kifupi ni kuwa sidhani kama nyumba itarudishwa,kama kulikuwa na makubaliano waliingia na aliyakubali,tena kwa maandishi,sijui kama hiyo haki ataipata.Mikopo imewafanya watu wajiue,mikopo imesababisha baadhi ya watu kupata mapresha na na kisukari,mikopo imesababisha familia zikasambaratika na hata ndoa kuvunjika,inahitajika elimu kwanza kabla kuchukua na sio kukurupuka...
Mfano huyo mama hakuwa na uzoefu na biashara alipo kopa hakwenda kuendeleza biashara bali alienda kuanza jambo ambalo ni baya sana kibiashara
 
watu wengi wanaochangia hawaionei huruma hiyo kampuni iliyotoa pesa wao wanoionea huruma familia iliyouziwa nyumba tu !hivi millioni 6 kwa miaka mitatu wamepeleka rejesho moja tu?hivi watu walitakeje hapo kampuni ifanyeje ?
Wanaume ndio tujifunze kumpa mke mamlaka mpaka kuchukua hati kuweka rehani kuchukua hela hali yakuwa hiyo biashara hana hata uzoefu hela zote zimeishia kutoa sadaka kanisani
 
hapo hapo walitoa kidogo wakaila nyingine wakalipia ada watoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hiyohiyo pesa ya mkopo
Mama pia alikuwa muimba kwaya hela nyingine kila j 2 akitoa sadaka na kusona ndguo,mm kama ningekuwa mkiristo siku nikamkuta mke wangu anaimba kwaya hasa makanisa ya kilorokole kadi nyekundu
 
Mama pia alikuwa muimba kwaya hela nyingine kila j 2 akitoa sadaka na kusona ndguo,mm kama ningekuwa mkiristo siku nikamkuta mke wangu anaimba kwaya hasa makanisa ya kilorokole kadi nyekundu
Pia unaweza kuta yeye na Mume wake wote Wana sali kanisa moja, ndiyo maana Mchungaji kawapiga kupitia Mke baada kmsoma udhaifu wa Mume!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Tukiwaambia Riba haifai mnatuona ss washamba hlf ni kanisa na waumini wake yni ndo uone sasa jinsi wagalatia walivokua hawana huruma na waumini wao

Laiti hii ingetokea kwa Waislamu comments zingekua zishafika 1000 uko ila kwasababu nyani haoni ............ basi wacha wamalizane wenyewe
Huyu mwenzenu anataka kuuza kituo cha watoto yatima.
Waumini wa Msikiti wa Ijumaa Mwanza wamvaa Bim na nduguye Sheraly kuhusu shule ya Thaqafa na Msikiti wa Ijumaa

Na hawa Saudi Arabia waliogoma kuipa mkopo Pakistan ndugu zao katika imani nao vipi, tena wakawaelekeza IMF ambao wanatoza riba au hilo Saudi hawajui. Hapo Pakistan wametoka kukumbwa na mafuriko yaliyopata 40% ya nchi nzima. Saudi refuses to give Pakistan interest-free loan

Saudi Arabia inatoza riba vizuri tu kwa kuiita "commission", alafu nenda Amana bank uone kama unapewa hela bure.
World Bank to Get $750‐Million Loan From Saudi Arabia (Published 1974)

Hiyo sheria haitekelezeki kirahisi hivyo, na kukopa mtu halazimishwi wala kuweka rehani vitu hapangiwi. Ukikosa kujiongoza mwenyewe ukasubiri huruma utaumia. Tumia akili
 
Hapo ni Kabla hawajaenda Mahakamani sio?
Wakienda Mahakamani itapigwa Hadi gharama ya kesi utapewa mkopaji.
Mbona ni hesabu rahisi sana hiyo,sema watu wanajizima Data muda mwingine wakitaka yao yaeende! Lakini mwisho wa yote kila upande usisahau uwepo wa Mungu kwenye kila Jambo!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mbona ni hesabu rahisi sana hiyo,sema watu wanajizima Data muda mwingine wakitaka yao yaeende! Lakini mwisho wa yote kila upande usisahau uwepo wa Mungu kwenye kila Jambo!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app

Hiyo hesabu yako sio Sahihi.
Mkishapelekana Mahakamani ishu inakuwa zaidi ya hesabu hiyo.
Pesa ya Wakili Unafikiri itakuwa shilingi ngapi?
Pesa ya usumbufu unafikiri itakuwa shilingi ngapi?
Alafu ndio ujumlishe na hilo deni lake hapo.

Hivyo ndivyo mambo yanavyoenda.
 
Kama kwa Mwaka riba ni M1,basi kila Mwaka wao wengeongeza M1 yao, kwa hiyo miaka 2 riba ingekua M2 tu! Sema watu wa mikopo ni matapeli wa vikokootoo vya wizi!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
elewa hivi mnaingia makubaliano ya mwaka mmoja na marejesho ni kila mwezi sasa kama huleti marejesho unakua umevunja mkataba hawawezi wakakuwekea liba ileile kama hujaleta marejesho ya mwaka mzima kumbuka marejesho yako ndo yanamkopesha mtu mwingine na inazaa pia na usipoleta kwa mwezi mmoja wana faini zapia kikubwa mikopo inahitaji akili kubwa ya biashara
 
elewa hivi mnaingia makubaliano ya mwaka mmoja na marejesho ni kila mwezi sasa kama huleti marejesho unakua umevunja mkataba hawawezi wakakuwekea liba ileile kama hujaleta marejesho ya mwaka mzima kumbuka marejesho yako ndo yanamkopesha mtu mwingine na inazaa pia na usipoleta kwa mwezi mmoja wana faini zapia kikubwa mikopo inahitaji akili kubwa ya biashara
Wakopeshaji utawajua tu!![emoji3]

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom