Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Biashara sio rahis hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pitia comment no #54Milioni SITA Kwa milioni Moja Kwa mwaka mmoja wamekukandamiza wapi?Riba rafiki kabisa
NakaziaNiseme mara ngapi?nitakaa nanyi mpaka lini enyi wenye imani haba?? Kuwa usikope kuanzisha biashara. Hasa hasa kwa kutegemea biashara hiyo ndo irejeshe mkopo. Kopa kuendeleza biashara.
Hiyo sio kausha damu.Walio wengi wanapaparikia mno mikopo kausha damu = bila mipango yakinifu ya kuirejesha kwa wakati.
Matokeo yake ndio huko kukaushwa damu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipoooMakanisa wameacha kazi za ibada,wamejiingiza kwenye Mikopo ya kausha Damu! Kondoo wanaliwa kotekote!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ingepaswa iwe Riba kiasi gani Kwa miaka miwili kulingana na uzoefu wako au jinsi unavyoelewa?
Sifahamu mkuuMkuu hivi huyu Festo ana undugu na Festo ndugage the disgrace cabinet minister?
Kwasababu majina yao ya kwanza yanafanana.
Inakuwa kandamizi baada ya kuchukua na kushindwa kulipaMikopo kandamizi hii
Afisa mikopo nae katoaje pesa wakati mtu hana biashara
Nishawishiwe mkopo kisa wadada wazuri 😆😂🤣 aisee tutaishia kulana kimasihara tu hakuna kingineKuna kipindi hapo nyuma michezo ya mijini ilichezwa hivi:
Wanakuja wadada wazuriii unashawishiwa ukope bila hata vigezo
Sasa si hizo akili unazo wewe. Unadhani mmasai kaingia mjini, kauza uza mifugo kajenga eneo mafuta akikutana na wadada na komwe zao na uniform wakamjaza sifa atafanyaje?Nishawishiwe mkopo kisa wadada wazuri 😆😂🤣 aisee tutaishia kulana kimasihara tu hakuna kingine
😂😂😂 hapo lazima bond ipigwe mnada!!!!inasikitisha sana.hapo hapo walitoa kidogo wakaila nyingine wakalipia ada watoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hiyohiyo pesa ya mkopo
Kuna watu wakisha kukukopesha wanakufunga kwa nguvu za giza hupati tena pesa, mwisho wa siku unakuta Deni la m5 limefika m20 kwa riba tu!!Milioni SITA Kwa milioni Moja Kwa mwaka mmoja wamekukandamiza wapi?Riba rafiki kabisa
Kama kwa Mwaka riba ni M1,basi kila Mwaka wao wengeongeza M1 yao, kwa hiyo miaka 2 riba ingekua M2 tu! Sema watu wa mikopo ni matapeli wa vikokootoo vya wizi!!Ingepaswa iwe Riba kiasi gani Kwa miaka miwili kulingana na uzoefu wako au jinsi unavyoelewa?
Hiyo ndio kazi ya makanisaNiliona picha ya hiyo nyumba sehemu wahuni wamezurumu nyumba sio ya 7m ile hata familia wangeamua kuuza wenyewe huko kimara kwanza pana kiwanja kikubwa vile cha 7m daslm watu wezi sana....pana vitu tutavijua zaidi huko mbele...
Huyo mama halikuwa muimba kwaya hilo ndilo tatizo la kuweka mbele mwanamkeKila kesi ya mkopo mwanamke hakosekani daah