S super hero1 JF-Expert Member Joined Jul 27, 2024 Posts 1,057 Reaction score 825 Nov 7, 2024 #261 Pang Fung Mi said: Hahahaaa wacha hizo Kill time bar pale sinza Lego ndio ilifunika amazing acha kabisa Click to expand... San siro (dagaa dagaa)
Pang Fung Mi said: Hahahaaa wacha hizo Kill time bar pale sinza Lego ndio ilifunika amazing acha kabisa Click to expand... San siro (dagaa dagaa)
Mr Dudumizi JF-Expert Member Joined Sep 9, 2020 Posts 7,799 Reaction score 14,215 Nov 7, 2024 Thread starter #262 Kimwakaleli said: Na hapo macheni,inawekwa taarifa ya habari iliyorekodiwa kuwa ni saa 2kamili kumbe saa SITA usiku ,tukiwa tunakata kiu,we jamaa acha castle baridiii! Click to expand... Wewe kweli ni mwenyeji mwenzang wa maeneo yale. Sababu umepita mlemle kwenye uzoefu πππ
Kimwakaleli said: Na hapo macheni,inawekwa taarifa ya habari iliyorekodiwa kuwa ni saa 2kamili kumbe saa SITA usiku ,tukiwa tunakata kiu,we jamaa acha castle baridiii! Click to expand... Wewe kweli ni mwenyeji mwenzang wa maeneo yale. Sababu umepita mlemle kwenye uzoefu πππ