Dar es Salaam nzima haijawahi kutokea Baa yenye sifa na mvuto kama Kwa Macheni

Dar es Salaam nzima haijawahi kutokea Baa yenye sifa na mvuto kama Kwa Macheni

Dah pole sana mkuu kwa janga lililokukuta. Sasa brother huyo dem mwenyew ulikuwa ushawahi kulala nae? Na kama uliwahi kulala nae vipi kuhusu afya yako binafsi uliwahi kwenda kupima?
Hayo ni mambo yaliyotokea mwaka 1994 ningali kijana, kwa hiyo jibu ni rahisi.
 
Wapenda Was**nge na Malaya Wachafu wa Bei rahisi ndio walikuwa wakijazana hapo 'Mapipa'.

'Bata' la wajanja lilikuwa 'Bills',CD.
Kwa wapenda totoz classic ilikuwa pale Jolly Club enzi zilezile.

Mwenyewe 'Macheni' alikuwa hakauki 'Bills' kipindi hichohicho hasa Usiku wa Muafrika, Baharia yule pacha wa 'Defao'.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ivi kumbe ni kweliii?? Nadhanigi uongo, ila pongezi kwake, ame maintain aseeeeh. Uwiiiiiih
KWA Mungu yote yanawezekana anasema pana mtu alimtupia roho ya ushoga akiwa mtoto wa miaka 4.
Haya yapo.
Mtu azaliwi kuwa shoga bali,ushoga ni roho chafu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenichekesha sana mzee, kunyonya titi ofa
Hahaha enzi hizo malaya alikuwa anapandisha kidogo tu kigauni chake unamaliza haja yako chap chap anaenda kuwahi kichwa kingine. So kukupa ziwa ushike au unyonye ilikuwa ni ofa kabambe kwa wateja maalumu kama hao niliokwambia hapo juu 🤣🤣🤣
 
Wapenda Was**nge na Malaya Wachafu wa Bei rahisi ndio walikuwa wakijazana hapo 'Mapipa'.

'Bata' la wajanja lilikuwa 'Bills',CD.
Kwa wapenda totoz classic ilikuwa pale Jolly Club enzi zilezile.

Mwenyewe 'Macheni' alikuwa hakauki 'Bills' kipindi hichohicho hasa Usiku wa Muafrika, Baharia yule pacha wa 'Defao'.
Kwa macheni kulipendwa na kupata umaarufu kwa sababu nyingi ikiwemo watu kukutana pale na kupanga mipango yao mbali mbali ya wizi, safari, uzamiaji nk.
 
Hayo ni mambo yaliyotokea mwaka 1994 ningali kijana, kwa hiyo jibu ni rahisi.
Ok mkuu basi ni kumshukuru Mungu sana. Maana kupona kwako sio kwa ujanja wako, bali ni kwa nusura ya Mungu wako kuwa upande wako.
 
Habari zenu wana JF wenzangu.

Hivi ni Bar au maeneo gani ya starehe yanaweza kufikia sifa ilizokuwa nazo Bar ya Macheni enzi zake.

Hii Bar enzi za Prime Time yake iliweza kujibebea umaarufu hadi nje ya mipaka ya nchi yetu achilia mbali maeneo na mikoa mbali mbali ya Tanzania.

Mwaka 2003 wakati nipo ndani ya basi kutoka Lusaka kuelekea Harare nilikutana na mzambia fulani ambae tuliongea mengi kati ya tulioongea nilishangaa kuona jamaa aliifahamu hadi macheni Baa na alisema kwamba siku atakayofanikiwa kukanyaga Tanzania atajitahidi kufika katika Bar hiyo ili kujionea mwenyewe kwa macho yake yale yote aliyokuwa anahadithiwa na wazambia wenzake waliobahatika kukanyaga Dar na kwenda kula bata katika Bar hiyo.

Lakini pia nishakutana na watu kutoka katika nchi zingine za Congo, Burundi, Namibia na Kenya wakiizungumzia Bar hiyo kwa jinsi ilivyokuwa na mvuto kwa watu mbali mbali kutoka mataifa mbali mbali.

Sasa toka Bar hiyo ya macheni ilipoanguka sijawahi kusikia Bar zingine zenye sifa kubwa kama hiyo.

Je wewe ushawahi kuisikia nyingine yenye sifa zinazofanana na zile zile za kwa macheni? Kama ipo ni ipi? Najua kuna Bar na maeneo mengi yenye sifa na mvuto wa kiwango fulani ila sio kufikia viwango vya Bar ya Macheni.

Nyinyi au wewe unaonaje?

Karibuni tujadili.
Matako bar
 
Back
Top Bottom