Dar-Es-Salaam: Obama Umedanganywa!

Dar-Es-Salaam: Obama Umedanganywa!

Huyu jamaa mwenye hii mada anafaa kuondoa "M" kwenye jina lake ili aendane na jinsi anavyo fikiri na jina lake litaendana sawasawa na upeo wake yani namaanisha "ZOMBA" atoe "M" ibaki ZOBA.
 
Hivi kweli tafsiri ya neno dar es salaam inawafanya mtoleano mimacho na kuandikiana kashfa? yaani mnataka kuchoma moto kila kitu humu? lol. hebu fikirieni upya!

Ukweli siku zote unauma.
 
Umaskini tulioingizwa wakati wa Nyerere nna uhakika hujaona, wala foleni za wakati huo nna uhakaika hujaziona, umeshakaa foleni ya vibiriti wewe? Leo una foleni za neema na maendeleo za magari, unahaha.

Kuna ufisadi zaidi ya kupoteza watu wasijulikane walipo? Unayajuwa ya Kassim Hanga?

Chukuwa idadi ya wanafunzi woooooooote waliofaulu wakati wa Nyerere, nachukuwa idadi wanafunzi waliofaulu wakati wa Kiwete kwa muhula mmoja, tuwekee hapa, kama hujajiaibisha. Huwezi.

Kwa mara ya kwanza tunaiona Tanzania ikijitegemea yenyewe kwa asilimia zaidi ya 65. Jee, uliwahi kuiona ikijitegemea zaidi ya hivyo? weka ushahidi. Huwezi.

Jina lipi linalokupa shida> Barack Hussein Obama? au Jakaya Mrisho Kikwete? au Zomba? weka wazi. Huwezi!

Kwa kukupa darsa tu, tuko katika masiku ya "Mrisho" huu ndio msimu wake, kabla ya Ramadhan. Jee, unajuwa maana ya Mrisho?

Kutoe hizi pumba zako msikitini sio hapa. Hapa tunajadili mambo ya maana na kama unataka kutoa mhadhara sio mahali pake
 
Huyu jamaa mwenye hii mada anafaa kuondoa "M" kwenye jina lake ili aendane na jinsi anavyo fikiri na jina lake litaendana sawasawa na upeo wake yani namaanisha "ZOMBA" atoe "M" ibaki ZOBA.

Si wa kwanza kushauri hivyo. Si tatizo langu, ni ufikiri wako tu hauja-panuka.
 
Kutoe hizi pumba zako msikitini sio hapa. Hapa tunajadili mambo ya maana na kama unataka kutoa mhadhara sio mahali pake

Ulimaanisha nini hapo nilipo kuwekea nyekundu.
 
Humu JF kuna vichwa vya kila aina aisee
Na ni vyema kwa kuwa hatukutani uso kwa uso, ni maneno tuu.
 
Kuna wengine wanasema hivi kuhusu DSM:

"In the 19th century, Mzizima (Kiswahili for "healthy town") was a coastal fishing village on the periphery of Indian Ocean trade routes. In 1865 or 1866, Sultan Majid bin Said of Zanzibar began building a new city very close to Mzizima and named it Dar es Salaam. The name is commonly translated as "harbor/haven of peace" or "abode/home of peace", based on the Persian/Arabic bandar ("harbor") or the Arabic dar ("house"), and the Arabic es salaam ("of peace"). Dar es Salaam fell into decline after Majid's death in 1870, but was revived in 1887 when the German East Africa Company established a station there. The town's growth was facilitated by its role as the administrative and commercial centre of German East Africa and industrial expansion resulting from the construction of the Central Railway Line in the early 1900s."

Kiswahili cha wapi hicho? aliyetafsiri hapo ana matatizo kama aliyemtafsiria Obama, Mzizima haimaanishi hivyo atakavyo, na amejitahidi sana kutafsiri Dar Es Salaam kwa njia tofauti mwishowe anajaribu kutaka kutuaminisha ni "habour" inatokana na Kifarsi (Persia), halafu anajisuta mwenyewe kumuelezea Sultan Majid, Jee Sultan Majid alikuwa muajemi? kama jibu ni hapana, basi hatuna budi ila tutumie lugha yake, tunapata maana ipi? Jibu unalo.
 
Huyu jamaa mwenye hii mada anafaa kuondoa "M" kwenye jina lake ili aendane na jinsi anavyo fikiri na jina lake litaendana sawasawa na upeo wake yani namaanisha "ZOMBA" atoe "M" ibaki ZOBA.

Ndivyo alivyo alikosea tu siku anajiandikisha, akaweka M kati na ku edit hajui!
 
Maana halisi ya Dar Es Salaam, ni ngumu sana kuitafsiri ikiwa huupendi Uislaam na umeaminishwa na wabaguzi wa ujinga, kwani Dar Es Salaam inapatikana ndani ya Qur'an ikimaanisha ni moja kati ya pepo au kwa maulamaa wengine, moja kati ya milango ya kuingilia peponi "Baab Dar as Salaam", kwa maana moja au nyingine inamaanisha "haven of Peace" au "Nyumba" ya amani au kwa maana halisi "Pepo" ya amani.

Aliyekufunda kuwa Dar Es Salaam ni "Habour of Peace" hakukutendea haki wewe wala hakututendea haki sisi wa Dar Es Salaam.

Mkuu nakushangaa sana, em kapitie dictionary yako vizuri au hujui neno "harbour" unaweza ukatumia kama "haven" vile vile?? Harbour of Peace na Haven of Peace na Nyumba ya amani ni kitu kile kile.. au we hapo ulielewa vipi??
Em kapitie dictionary vizuri basi alafu utarudi tena, na note kua inaandikwa "harbour" ama "harbor" British n American respectively, hiyo "Habour" yako ni Programming language sio neno la kiingereza. Kwa hiyo jamaa alikua sana kabisa
 
Umaskini tulioingizwa wakati wa Nyerere nna uhakika hujaona, wala foleni za wakati huo nna uhakaika hujaziona, umeshakaa foleni ya vibiriti wewe? Leo una foleni za neema na maendeleo za magari, unahaha.

Kuna ufisadi zaidi ya kupoteza watu wasijulikane walipo? Unayajuwa ya Kassim Hanga?

Chukuwa idadi ya wanafunzi woooooooote waliofaulu wakati wa Nyerere, nachukuwa idadi wanafunzi waliofaulu wakati wa Kiwete kwa muhula mmoja, tuwekee hapa, kama hujajiaibisha. Huwezi.

Kwa mara ya kwanza tunaiona Tanzania ikijitegemea yenyewe kwa asilimia zaidi ya 65. Jee, uliwahi kuiona ikijitegemea zaidi ya hivyo? weka ushahidi. Huwezi.

Jina lipi linalokupa shida> Barack Hussein Obama? au Jakaya Mrisho Kikwete? au Zomba? weka wazi. Huwezi!

Kwa kukupa darsa tu, tuko katika masiku ya "Mrisho" huu ndio msimu wake, kabla ya Ramadhan. Jee, unajuwa maana ya Mrisho?

Kwani wakati wa Nyerere watanzania walikuwa wangapi na sasa hivi watz ni wangapi? Unafanya comparison gani?? Wale walisoma bure, wa sasa wanakopeshwa tena kwa mbinde ukiwa mwalimu poa, ukiwa Economist imekula kwako.....
 
Hapa NYERERE kaingiaje????? ndo maana wewe tunasema ni MDINI,Inaonekaa umemuigiza Nyerere kwa sababu ya DINI YAKE
Jee, unajuwa kuwa ukoo wa Nyerere una "matatizo ya kiafya/kiakili" ya ukoo? Kama hujui muulize Andrew Nyerere.

Jee, "udini" ndio nini?
 
Back
Top Bottom