Dar-Es-Salaam: Obama Umedanganywa!

Dar-Es-Salaam: Obama Umedanganywa!

zomba hamna kitu kabisa.hv unawezaje kumfananisha mtu aliyeachiwa injinia 1 na madaktari 2 na huyu jamaa?jk mwenyewe
ni tunda la nyerere.walisoma kwa mkonge na pamba.huyu wa sasa hv ana kila kitu.acha upuuzi na upambe ww

Aliachiwa na nani? nae aliongeza nini?

JMK kwa wakati wake, vyuo vikuu vipya zaidi ya 10, kimoja ni kikubwa Afrika Mashariki na ya kati na hakijaisha, kikiisha kuna uwezekano mkubwa kikawa ni chuo kikuu kikubwa katika Afrika.

Wakati wa Nyerere tulikuwa kwenye "acute privation". Katafute "dictionary" uelewe namaanisha nini.
 
Zomba na udini. Sasa DAR ni NENO LA KIISLAM.

It seems anything with arabic accent ni Uislam.

schau ujinga wewe, dar es salaam ilianzishwa mwaka 1866 Sultani Bargash na akaiita Darul Salaam ikiwa na Mlango mmojawapo katika
 
zomba hamna kitu kabisa.hv unawezaje kumfananisha mtu aliyeachiwa injinia 1 na madaktari 2 na huyu jamaa?jk mwenyewe
ni tunda la nyerere.walisoma kwa mkonge na pamba.huyu wa sasa hv ana kila kitu.acha upuuzi na upambe ww

Hujamalizia, yeye alisomeshwa kwa mkonge na pamba. Ila ana mafuta, gesi, uranium, tanzanite, diamond, gold, coal, bandari na mengineyo lakini anashindwa kusomesha vijana chuo kikuu. Aibu sana.
 
Tendo la ndoa si dhambi ya asili. Sijaona connection kati ya uislamu na hilo jina. Ama unataka kutuaminisha kuwa uislamu ni uarabu? Manake kama na Jerusalem nayo ina maana hiyo, nilidhani ni lugha tu?

Tendo la ndoa linahusu nini? jifunze kusoma na kuelewa, siyo unakurupuka tu.
 
Usikariri ndugu...neno baab co nyumba bali ni mlango.....kwahyo yupo sahih kabsa alvosema,kiarabu co quran japokuwa quran ni kiarab...
 
Zomba na udini. Sasa DAR ni NENO LA KIISLAM.

It seems anything with arabic accent ni Uislam.

Kwa wenye limited thinking capacity au walioamua kujiaminisha hivyo jibu ni YES..
 
Hujamalizia, yeye alisomeshwa kwa mkonge na pamba. Ila ana mafuta, gesi, uranium, tanzanite, diamond, gold, coal, bandari na mengineyo lakini anashindwa kusomesha vijana chuo kikuu. Aibu sana.

Na hivyo vyote wakati wa Nyerere vilikuwa havipo? Kaacha vyuo vikuu vingapi?

Unajuwa wakati wa Kikwete tumepata vyuo vikuu vipya vingapi? soma post #61 .
 
Hatukushangai,kwani mtu yeyote aliyefilisika kisiasa lazima atatumbukiza udini na ukabila,ili ajikweze kisiasa.

It seems you are among those pambafu creatures!

Hivi kwa jinsi hili linchi letu lilivyo Taifa la kipolisi,kwa namna ya haki za kibinadamu zinavyovunjwa kila kukicha,unadiriki kumpa credit JK,kisa muuislam mwenzio!

Kumbuka nukuu ya moja ya hotuba za hekima sana za baba wa Taifa,aliposema,mtu aliyefilisika kisiasa,anaweza kudiriki kusema kuwa,ingawa mgombea huyu hana sifa zozote za kuwa kiongozi bora,lakini mimi nitamchagua,kwa kuwa tu tuna dini moja!

Lazima wewe kwa jinsi ulivyoiwekahii post,utakuwa mdini wa kupitiliza!!

JK unamaanisha Julius Kambarage? kama jibu ni ndio, hana hata chembe ya "credit" kutoka kwangu.
 
Umeangalia timeframe ya hayo yaliyofanyika na umri halisi wa taifa hili?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kikwete ndio kwanza mwaka wa 7. Nyerere 24, alifanya ninini zaidi ya kutuwacha kwenye "acute privation".
 
Taifa letu halitaendelea kama tutakuwa tunafikiria kuwa dini furani ni bora kuliko nyingine. Imani zetu za kidini tuziweke kando linapokuja swala la utaifa.
 
Taifa letu halitaendelea kama tutakuwa tunafikiria kuwa dini furani ni bora kuliko nyingine. Imani zetu za kidini tuziweke kando linapokuja swala la utaifa.

Kulipokuwa hakuna dini pakaendelea ni wapi?
 
vyuo vikuu kwa majengo au ubora wa elimu?usidanganywe kwa wingi wa madarasa ww kilaza.si ndo maana alikurupuka na mradi wake wa shule za kata.wanamaliza wengi na wanafeli kishenzi.yani uko mbele sindano nitakua sipigi maana tutakua wataalam wa uongo.ongelea deni la taifa.huyu jamaa ana kila kitu yy na ccm wamekalia michongo ya wizi tu,hajawai tuambia kagoda ni nini wakati kuna brela,hajawai tuambia kuhusu trilioni za shimbo sana kampa ubalozi,hajawahi kukanusha mwanae billionaire.yani ni hopeless.watatumia mabomu na polisi wasitoke madarakani kwasababu uovu na wizi utakua wazi.balali kafa?
we zomba ni chiziiiii haya huoni
 
zomba hamna kitu kabisa.hv unawezaje kumfananisha mtu aliyeachiwa injinia 1 na madaktari 2 na huyu jamaa?jk mwenyewe
ni tunda la nyerere.walisoma kwa mkonge na pamba.huyu wa sasa hv ana kila kitu.acha upuuzi na upambe ww

Mpuuzi hawezi kuacha upuuzi hata siku moja.
 
Hahaaa..zoba upoooooo...Nilidhani ni mimi peke yangu nalielewa hilo...
Jamaa ni mliberali, maana haiezekani ktk normal circumstances mja na midevu yako kua na ID ya kike. Ngoja aje uone atavoruka kimanga/
 
Usikariri ndugu...neno baab co nyumba bali ni mlango.....kwahyo yupo sahih kabsa alvosema,kiarabu co quran japokuwa quran ni kiarab...

Na mlango unakuingiza au kukutoa wapi?
 
Back
Top Bottom