zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,930
- Thread starter
- #141
Mkuu nakushangaa sana, em kapitie dictionary yako vizuri au hujui neno "harbour" unaweza ukatumia kama "haven" vile vile?? Harbour of Peace na Haven of Peace na Nyumba ya amani ni kitu kile kile.. au we hapo ulielewa vipi??
Em kapitie dictionary vizuri basi alafu utarudi tena, na note kua inaandikwa "harbour" ama "harbor" British n American respectively, hiyo "Habour" yako ni Programming language sio neno la kiingereza. Kwa hiyo jamaa alikua sana kabisa
Bandari. Ukiikubali maana hiyo ina maana unakataa kuwa Dar Es Salaam si Kiarabu. Wakati aliyetoa jina hilo ni Mwaarabu. Na nnakuhakikishia Mwaarabu hatoi jina hilo ila anai"quote" Qur'an na Qur'an haikumaanisha "bandari...".