Dar es Salaam vs Nairobi Drone view

Hahahaha... Thankyou. Annael is finally dancing to my new release..... Arusha inatoshana Kapsabet. Dar linganisha na Mombasa. Achana na jokes za viccm hapa. Ng'ombe hii
Acha kulinganisha dar na upuuzi
 
Acha kulinganisha dar na upuuzi
Lakini we unakuwa mtu wa kukurupuka na kuonyesha ujinga uliokidhiri! Nikiweka hiyo picha inamaana ni beach? Hiyo kuonyesha tu nina uhakika wa kufika Dar, Hata huelewi! Taaban!!! Kibera we make innovations that change the WORLD!

I am just about to launch my Education app, the first ever in Africa that is gonna revolutionize the education sector, Mwezi wa nne naileta Dar International Academy mwaka ukiisha itakuwa imefika South Africa InshaAllah!!!
Visit www.someshaapps.com for more information!! Nikija Dar nitakuita nikufunze kujudge watu!!

Counting!!!
 
Dah ! Kazi kwelikweli ngoja ninyamaze tu muhudum naomba Kilimanjaro ya baridi[emoji482]
 

can you explain more about your education app yaani how is it going to be the first in Africa coz even in tanzania ,there is shule direct by faraja Nyalandu so, how unique it is compared to the existing ones
 
Shule direct is an online platform, not even a utility! But am talking about Android ans IOS app that links all seamlessly link all education stakeholders at one point! Example, parents get fees reminder as a push notification, they can then pay on their phones using mobile money platform eg Mpesa, then they notified on receipt by the school! The data is then stored tabular so that the parents can see fees paid, arrears and year totals! Other many features like academic progress updates timetabling, news feeds and notifications! In general, parents, teachers, learners and administrators can work seamlessly without being present and without miscommunications or improper communication!

 
Hao hawajaipata Nairobi vizuri, yaani hauwezi ukadharilisha Nairobi kwa kuilinganisha na Dar, labda Mombasa ndio level ya Dar. Cheki hii video ndio upate muziki wa Nairobi
Nilijua tu hukubali kushindwa,bora video ile kuliko hii ulioleta haina chochote zaidi ya kupigwa usiku na hizo flyover ambazo dar zimeanza kujengwa.
Hebu tupia za westlands na Ngong hills kwa sasa,niliwahi kukaa kule zamani ni sehemu murua sana zilikuwa
 
Forest Road

Runda
 
Hao hawajaipata Nairobi vizuri, yaani hauwezi ukadharilisha Nairobi kwa kuilinganisha na Dar, labda Mombasa ndio level ya Dar. Cheki hii video ndio upate muziki wa Nairobi
We hiyo Video inaonyesha Barabara badala ya Mji..
 
We hiyo Video inaonyesha Barabara badala ya Mji..
Hmm! Kwani lazima useme kama hauna la Kusema? nini huunda mji? Bila barabara nzuri kuna Mji, ama dar hakuna barbara sa unadhani miji huwa haina barabara??
Mbona hueleweki?
Mji wowote mzuri lazima mwanzo uwena barabara nzuri! Na ndio hizo za Nairobi!

Zingine zaja, project nne za barabara kama hizo!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…