Edward Wanjala
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 8,122
- 6,429
Umeiangalia Hiyo Video.... Ni sawa na Kwenda kupiga Picha Nyerere Bridge ukasema Dar Nzima Ipo HivyoHmm! Kwani lazima useme kama hauna la Kusema? nini huunda mji? Bila barabara nzuri kuna Mji, ama dar hakuna barbara sa unadhani miji huwa haina barabara??
Mbona hueleweki?
Mji wowote mzuri lazima mwanzo uwena barabara nzuri! Na ndio hizo za Nairobi!
Zingine zaja, project nne za barabara kama hizo!
Ulitaka tupige nini picha mjini? Miti?? We usiangaike na za kwangu! We weka za kwako! You want to choke over my videos, dissaprove with yours! Here it is about Video and picture sio domodomo zako hizo! Ama zipeleke politicsUmeiangalia Hiyo Video.... Ni sawa na Kwenda kupiga Picha Nyerere Bridge ukasema Dar Nzima Ipo Hivyo
Ndo jamaa Alichofanya hapo.. kaonyesha Fly Over za Nairobi
[emoji30]Nairobi ni league soo,,
Dar bado ,ni kama mtoto mchanga ananza kutambaa. Nairobi ni baba yao .kwanza project kibao zinashugulikiwa joo
vipi habari za Dar is SlumNairobiii
Nairobiii
Nmeiona video,sasa Ndio nagundua kumbe nairobi pakoje,sehemu kumepoa kama watu walihama barabara imejaa matatu....iyo highway iko poa lakini mji haujachangamka kabisa...uko kwafaa wazeeNairobi ya wapi hiyo?? Nairobi ninayo ijua Barabara ni hivi
View attachment 476047 View attachment 476048 View attachment 476049 View attachment 476050 View attachment 476051 View attachment 476052 View attachment 476053 View attachment 476054
Wacha nikupe video, kama unabundles najua kule Bongo ni shida, uangalie hadi mwisho, uone jiji, utoe hayo mawazo ya kudhani Nairobi ni kama Dar.
Hii toka Westlands Suburbs to Thika Highway
Nmeiona video,sasa Ndio nagundua kumbe nairobi pakoje,sehemu kumepoa kama watu walihama barabara imejaa matatu....iyo highway iko poa lakini mji haujachangamka kabisa...uko kwafaa wazee
Prove kwa video kwamba kumechangamkaHhhhhhhh!! Man, eti kwafaa wazee??? Mji uko poa tuusan, utulivu ndio unahitajika, sehemu za masoko wapo watu, tena wengi sana
Wewe ndo hujitambuiDady wala usisumbuke na Wabongo jpo binafc yngu japo nami ni m'tz huwa hatuna hoja..never huwez compare roads za Nairob to Dar.. Ukweli utabaki kua there Nairob wanajitmbua bwana.
Cos'huyo friend yako kakupa evdenc kwa video So'kipi we kikushnde kumuonesha Dar roads km sio unaleta porlitics.Wewe ndo hujitambui
Hakuna mbongo kama weweCos'huyo friend yako kakupa evdenc kwa video So'kipi we kikushnde kumuonesha Dar roads km sio unaleta porlitics.