Tuje tulianzishe kwenye forum yao ya nairand.
Sawa.... Nawahurumia sana... Kwanza kuna miji kama Freetown na Monrovia.. Wah!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuje tulianzishe kwenye forum yao ya nairand.
Nimewaambia mara nyingi Dar itachukua muda mrefu sana kufikia level ya Nairobi, yaani hapa nikianza kuorodhesha mambo yanayofanyika Nairobi nitapoteza muda mwingi sana. Nairobi sasa hivi ipo inan'gan'gana na miji mikubwa kama ya Afrika Kusini maana huko ndio ligi yake. Hapa EAC hatuna muda napo kabisa, nyie ndio mfuate nyayo zetu mje huko nyuma.
Nakuacha na mradi mmoja ambao tayari unafanyika na unategemewa kukamilika huu mwaka, cheki simulation yake hapa chini.... Halafu miji ingine ya Kenya inakuja kwa kasi, juzi nimeona presentation ya Mombasa, ambayo sasa ndio inaweza kupimana na Dar.
Ww fala sio mtanzania kundu kweliAcheni ujinga-ujinga, yani kwasababu mimi ni mtanzania ndiyo nitetee Dar over Nairobi?
Hakika Tanzania ndiyo kitovu cha unafiki Afrika mashariki na kati.
Ilikuwa Kwa haraka, lkn sasa!Drone view never dissappoint, ila to be honest Dar is catching up very fast, Nairobi ikizubaa inapitwa! Hiyp drone view ya Dar ni shida.
Ww fala sio mtanzania kundu kweli
Hahaha pole !!!kama kipimo cha kuwa mtanzania ni kuwa mjinga acha tu nisiwe mtanzania.
Hayo umeyaona weweHakuna haja yakuendelea kuchoshana Dar na nai tumeshaona nai inann na Dar inann ,madhaifu ya miji yote mpaka sasa tumeshayaona. ..
Labda tutengeneze hoja zingine kuhusu miji hii. ..Annael kaanzisha Uzi wa nn kinaendelea Dar, upo Uzi nn kinaendelea Nai kwahyo ukipitia kila Uzi unaona kabisa tunajitahidi sana kusogea pazuri kila mmoja kwa speed yake....ndio maana nkasema kwa ukanda huu hakuna miji yakuzungumzia sana zaidi ya Dar na Nai ndio ipo kwenye mstari kwa sasa! !
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
morning east africa.....@Depay my Kenyan woman,goodmorng.I'm back.....plz don't run away from me,this time I will not hate you.
Hahahaha... Bora usiniroge... Jiji zuri la Dareslum.... I am playing with your mind. You post small twitter posts by fun making Kenyans and I expose your Dareslum town full of slums and Cholera and sweet thing is these posts go online... any visitor preparing to come to Dareslum will pump into the slummy pictures and booom... How silly Kadoda... How silly. Twende. Jiji zuri la Dareslum
View attachment 455265
View attachment 455266
View attachment 455267
View attachment 455268
View attachment 455269
Lol.... Wah...mwanaetu Depay ! chunga hawa danganyika wasikupeleke sumbawanga kupandwa ,unajua hao ni wachawi wakupindukia .lakini jambo zuri unawavua nguo na kuwawacha uchi.
Huyu dogo nimemwambia aache ushamba lakini bado aliye kuroga naona kasha kufa sio kosa lako ni kosa LA kukulia kibera daah so sad hadi beach huijuiYes i did visit with my friend took some photos too!
This one I took my friend Yusuf! Beach bovu kuliko chochote duniani!!
![]()