Dar es Salaam wanawake wengi ni madada poa ila wanajificha kwenye kivuli cha uanafunzi, niligundua hili baada ya kuingia sita kwa sita

Dar es Salaam wanawake wengi ni madada poa ila wanajificha kwenye kivuli cha uanafunzi, niligundua hili baada ya kuingia sita kwa sita

Inawezekana isiwe chai Sema na yeye ana ushamba flani hivii. Hicho kipimo cha kujua walimu kachemka labda kama hajui maisha ya chuo yakoje
Hajasoma anahadisiwaga tu na uyo rafiki ake profesor labda maji marefu
 
Ni kweli dada poa wanatumia kivuli cha uanafunzi. Ila pia huwezi sema kwa kua rafiki yako ambae ni Prof kutokumjua ndio moja kwa moja yeye sio mwanafunzi.
 
Ila we mzee unahangaika..embu tuliaga mwisho wa siku utafia kwenye vifua vya mabinti za watu umpe shida mkeo
 
Mzee wa Mbinga siku nyingine ujifunze, sio kila kitu ni cha kuandika mengine ni ya kufanya tu yawe maisha, usiwe serious sana
 
Moto upo na mbingu ipo..wazinzi wooote mahali pao ni..[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] period
Mpokee Yesu leo upone...atakupa nguvu za kushinda tamaaa za mwili
 
Wanawake wengi wanaojiuza (wasimbe) wanajificha katika kivuli cha uanafunzi, wiki kadhaa zilizopita nilipata dharula nikawa nahitajika Dar es Salaam.

Baada ya kumaliza kazi zangu nikaamua kusogea katika moja ya migahawa mikubwa tu hapa katika wilaya ya Kinondoni na ndipo nikabahatika kukaa na binti mmoja mzuri sana kimuonekano na kiumbo.

Katika stori mbili tatu akajitambulisha ni mwanafunzi, nikasema si vibaya nikafanya kumlipia chakula chake nikachukua na namba ya simu.

Wikiendi kwa kuwa nilikuwa nipo bored nikasema si vibaya nikapata kampani moja kwa moja katika kupekua simu nikamtafuta mwanafunzi yule aje ajumuike nami na gharama zote za usafiri, chakula na vinywaji ni juu yangu.

Alivyofika alikuwa kawaka sana kiukweli, nikawa najiuliza huyu hana boom, hata kama ni pesa za nyumbani si kwa kuwaka hivi akafika akala samaki mzima na chips, nikaleta vinywaji akanywa katika story mbili tatu akaniambia ni mwanafunzi wa chuo X…

Bahati nzuri kuna mwenzagu ni Prof. Pale katika kumchombeza nikagundua hamfahamu moja kwa moja nikajua huyu si mwanafunzi bali ni wale wanawake wanaojiuza wanaojificha katika kivuli cha uanafunzi.

Kwa kuwa napenda kudunmbukiza nyama nikaona si vibaya nikaenda kumchakata kama kawaida kwa kweli nilikuta nyama ni ya kawaida sana.

Ila kwa kuwa nilikuwa na njaa nikaamua kuila sikususa, asubuhi nikamlipa chake nikarudi zangu kazini kuendelea na majukumu kama kawaida.

Hivyo tusidanganRyike na hawa wanawake wanaojifanya wanafunzi wengi wao ni malaya wanaojificha katika kivuli cha uanafunzi.
Kwa HYo unataka wanafunzi wawafahamu maprofesa wote Ndugu.
 
Ma professor hawawezi kujua wanachuo wote.... Hiyo hoja yako haina mashiko
Hujaelewa vzr, jamaa anamaanisha mwanafunzi kumfahamu Prof, lakn jamaa anafikiri kila mwanafunzi anamfahamu kila mwalimu chuoni, kama unasoma political science (mfano) utamfahamuje profesa wa maths (mfano pia)
 
Wanawake wengi wanaojiuza (wasimbe) wanajificha katika kivuli cha uanafunzi, wiki kadhaa zilizopita nilipata dharula nikawa nahitajika Dar es Salaam.

Baada ya kumaliza kazi zangu nikaamua kusogea katika moja ya migahawa mikubwa tu hapa katika wilaya ya Kinondoni na ndipo nikabahatika kukaa na binti mmoja mzuri sana kimuonekano na kiumbo.

Katika stori mbili tatu akajitambulisha ni mwanafunzi, nikasema si vibaya nikafanya kumlipia chakula chake nikachukua na namba ya simu.

Wikiendi kwa kuwa nilikuwa nipo bored nikasema si vibaya nikapata kampani moja kwa moja katika kupekua simu nikamtafuta mwanafunzi yule aje ajumuike nami na gharama zote za usafiri, chakula na vinywaji ni juu yangu.

Alivyofika alikuwa kawaka sana kiukweli, nikawa najiuliza huyu hana boom, hata kama ni pesa za nyumbani si kwa kuwaka hivi akafika akala samaki mzima na chips, nikaleta vinywaji akanywa katika story mbili tatu akaniambia ni mwanafunzi wa chuo X…

Bahati nzuri kuna mwenzagu ni Prof. Pale katika kumchombeza nikagundua hamfahamu moja kwa moja nikajua huyu si mwanafunzi bali ni wale wanawake wanaojiuza wanaojificha katika kivuli cha uanafunzi.

Kwa kuwa napenda kudunmbukiza nyama nikaona si vibaya nikaenda kumchakata kama kawaida kwa kweli nilikuta nyama ni ya kawaida sana.

Ila kwa kuwa nilikuwa na njaa nikaamua kuila sikususa, asubuhi nikamlipa chake nikarudi zangu kazini kuendelea na majukumu kama kawaida.

Hivyo tusidanganyike na hawa wanawake wanaojifanya wanafunzi wengi wao ni malaya wanaojificha katika kivuli cha uanafunzi.
We ulikuwa hujui eeh
 
Wanawake wengi wanaojiuza (wasimbe) wanajificha katika kivuli cha uanafunzi, wiki kadhaa zilizopita nilipata dharula nikawa nahitajika Dar es Salaam.

Baada ya kumaliza kazi zangu nikaamua kusogea katika moja ya migahawa mikubwa tu hapa katika wilaya ya Kinondoni na ndipo nikabahatika kukaa na binti mmoja mzuri sana kimuonekano na kiumbo.

Katika stori mbili tatu akajitambulisha ni mwanafunzi, nikasema si vibaya nikafanya kumlipia chakula chake nikachukua na namba ya simu.

Wikiendi kwa kuwa nilikuwa nipo bored nikasema si vibaya nikapata kampani moja kwa moja katika kupekua simu nikamtafuta mwanafunzi yule aje ajumuike nami na gharama zote za usafiri, chakula na vinywaji ni juu yangu.

Alivyofika alikuwa kawaka sana kiukweli, nikawa najiuliza huyu hana boom, hata kama ni pesa za nyumbani si kwa kuwaka hivi akafika akala samaki mzima na chips, nikaleta vinywaji akanywa katika story mbili tatu akaniambia ni mwanafunzi wa chuo X…

Bahati nzuri kuna mwenzagu ni Prof. Pale katika kumchombeza nikagundua hamfahamu moja kwa moja nikajua huyu si mwanafunzi bali ni wale wanawake wanaojiuza wanaojificha katika kivuli cha uanafunzi.

Kwa kuwa napenda kudunmbukiza nyama nikaona si vibaya nikaenda kumchakata kama kawaida kwa kweli nilikuta nyama ni ya kawaida sana.

Ila kwa kuwa nilikuwa na njaa nikaamua kuila sikususa, asubuhi nikamlipa chake nikarudi zangu kazini kuendelea na majukumu kama kawaida.

Hivyo tusidanganyike na hawa wanawake wanaojifanya wanafunzi wengi wao ni malaya wanaojificha katika kivuli cha uanafunzi.
Sio kila mwanafunzi anawajua wakufunzi wote, nimesoma chuo nlikua nawajua walimu wangu tu
 
Wanawake wengi wanaojiuza (wasimbe) wanajificha katika kivuli cha uanafunzi, wiki kadhaa zilizopita nilipata dharula nikawa nahitajika Dar es Salaam.

Baada ya kumaliza kazi zangu nikaamua kusogea katika moja ya migahawa mikubwa tu hapa katika wilaya ya Kinondoni na ndipo nikabahatika kukaa na binti mmoja mzuri sana kimuonekano na kiumbo.

Katika stori mbili tatu akajitambulisha ni mwanafunzi, nikasema si vibaya nikafanya kumlipia chakula chake nikachukua na namba ya simu.

Wikiendi kwa kuwa nilikuwa nipo bored nikasema si vibaya nikapata kampani moja kwa moja katika kupekua simu nikamtafuta mwanafunzi yule aje ajumuike nami na gharama zote za usafiri, chakula na vinywaji ni juu yangu.

Alivyofika alikuwa kawaka sana kiukweli, nikawa najiuliza huyu hana boom, hata kama ni pesa za nyumbani si kwa kuwaka hivi akafika akala samaki mzima na chips, nikaleta vinywaji akanywa katika story mbili tatu akaniambia ni mwanafunzi wa chuo X…

Bahati nzuri kuna mwenzagu ni Prof. Pale katika kumchombeza nikagundua hamfahamu moja kwa moja nikajua huyu si mwanafunzi bali ni wale wanawake wanaojiuza wanaojificha katika kivuli cha uanafunzi.

Kwa kuwa napenda kudunmbukiza nyama nikaona si vibaya nikaenda kumchakata kama kawaida kwa kweli nilikuta nyama ni ya kawaida sana.

Ila kwa kuwa nilikuwa na njaa nikaamua kuila sikususa, asubuhi nikamlipa chake nikarudi zangu kazini kuendelea na majukumu kama kawaida.

Hivyo tusidanganyike na hawa wanawake wanaojifanya wanafunzi wengi wao ni malaya wanaojificha katika kivuli cha uanafunzi.
It depends na nature ya chuo . Kuna vyuo vikubwa kama sua pale Mimi nimegraduate ma prof wengi si wafahamu. Asilimia kubwa utawafahamu maprof wanaokufundisha tuu. Mwaka ule Mimi nipo kulikuepo na PhD holders more than 500 na faculties nyingi tuu. Mtu anayesoma Bachelor of forestry sio rahis kumfahamu prof wa kule agriculture labda kama wana share course. Labda ungemuuliza DVC wa chuo na prof wa course anayosoma
 
Wanawake wengi wanaojiuza (wasimbe) wanajificha katika kivuli cha uanafunzi, wiki kadhaa zilizopita nilipata dharula nikawa nahitajika Dar es Salaam.

Baada ya kumaliza kazi zangu nikaamua kusogea katika moja ya migahawa mikubwa tu hapa katika wilaya ya Kinondoni na ndipo nikabahatika kukaa na binti mmoja mzuri sana kimuonekano na kiumbo.

Katika stori mbili tatu akajitambulisha ni mwanafunzi, nikasema si vibaya nikafanya kumlipia chakula chake nikachukua na namba ya simu.

Wikiendi kwa kuwa nilikuwa nipo bored nikasema si vibaya nikapata kampani moja kwa moja katika kupekua simu nikamtafuta mwanafunzi yule aje ajumuike nami na gharama zote za usafiri, chakula na vinywaji ni juu yangu.

Alivyofika alikuwa kawaka sana kiukweli, nikawa najiuliza huyu hana boom, hata kama ni pesa za nyumbani si kwa kuwaka hivi akafika akala samaki mzima na chips, nikaleta vinywaji akanywa katika story mbili tatu akaniambia ni mwanafunzi wa chuo X…

Bahati nzuri kuna mwenzagu ni Prof. Pale katika kumchombeza nikagundua hamfahamu moja kwa moja nikajua huyu si mwanafunzi bali ni wale wanawake wanaojiuza wanaojificha katika kivuli cha uanafunzi.

Kwa kuwa napenda kudunmbukiza nyama nikaona si vibaya nikaenda kumchakata kama kawaida kwa kweli nilikuta nyama ni ya kawaida sana.

Ila kwa kuwa nilikuwa na njaa nikaamua kuila sikususa, asubuhi nikamlipa chake nikarudi zangu kazini kuendelea na majukumu kama kawaida.

Hivyo tusidanganyike na hawa wanawake wanaojifanya wanafunzi wengi wao ni malaya wanaojificha katika kivuli cha uanafunzi.
Wengine wanajificha kwenye uhudumu nyumba za ibada
 
Back
Top Bottom