Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, ACP Lazaro Mambosasa amesema wamewashika watu watatu zaidi kwa tuhuma za kuwashawishi watu kuandamana.
Walikamatwa ni pamoja na Baunsa wa aliyekuwa Mbunge Kawe, Halima Mdee na wengine wawili ambao wamekamatwa kuzuia vurugu zinazopanga kufanyika.
Kamanda Mambosasa amesema watu hao walikamatwa wakiwa katika vikao vya kupanga vurugu hizo ambazo zimepangwa kufanyika leo.
Waliokuwa wanatakiwa kuandamana wametakiwa kuchoma matairi barabarani, kuchoma magari, vituo vya mafuta na masoko wameahidiwa pesa.
Pia watu wanaotumika kushawishi wanaambiwa wawatafute vijana wasio waoga, wanaotumia dawa za kulevya.
PIA SOMA:
= > Uchaguzi 2020 - ACP Mambosasa: Tunawashikilia Mbowe, Lema na Boniface Jacob kwa kuhatarisha maisha ya Raia na mali zao
Walikamatwa ni pamoja na Baunsa wa aliyekuwa Mbunge Kawe, Halima Mdee na wengine wawili ambao wamekamatwa kuzuia vurugu zinazopanga kufanyika.
Kamanda Mambosasa amesema watu hao walikamatwa wakiwa katika vikao vya kupanga vurugu hizo ambazo zimepangwa kufanyika leo.
Waliokuwa wanatakiwa kuandamana wametakiwa kuchoma matairi barabarani, kuchoma magari, vituo vya mafuta na masoko wameahidiwa pesa.
Pia watu wanaotumika kushawishi wanaambiwa wawatafute vijana wasio waoga, wanaotumia dawa za kulevya.
PIA SOMA:
= > Uchaguzi 2020 - ACP Mambosasa: Tunawashikilia Mbowe, Lema na Boniface Jacob kwa kuhatarisha maisha ya Raia na mali zao