King Sae
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 3,282
- 6,471
😅😃....nasikia leo wajeda wanafanya usafi PostaThutubu hawajari wako busy twiter
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😃....nasikia leo wajeda wanafanya usafi PostaThutubu hawajari wako busy twiter
We bado hujaenda kuandamana tu? Dah! CHADEMA bana. Walaghai sana. Nasikia Zitto Kabwe kazima simuNchi ishaharibika hii
Nenda kawaulize waangalizi wa uchaguzi wa kimataifa uchaguzi ulikuwaje..shwainnnnHalafu wanakosea wanaposema kwamba ni furugu wakati ni maandamano ya amani kudai uchaguzi huru na wa haki, Kudai tume huru ya uchaguzi, Uchaguzi uandaliwe sababu kilichofanyika tanzania tarehe 28 hakikuw na sifa za kuitwa uchaguzi
[emoji16]Nenda kwenye maandamano acha ujanja ujanja mkuu
Jomba nadhani wewe ndio umeshaharibika..jitathmini mapemaaa...Nchi ishaharibika hii
Hawa jamaa wanashawishi watu wakati wao wenyewe hawaendi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
Hahaha hah hah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We bado hujaenda kuandamana tu? Dah! CHADEMA bana. Walaghai sana. Nasikia Zitto Kabwe kazima simu
Na pale Ubungo bus terminal wana wamekula kona Kali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji28][emoji2]....nasikia leo wajeda wanafanya usafi posta
CHADEMA ni wapumbavu na malofa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mjinga wewe maandamano ya amani yasiyo na kikomo ndio yapi hayo, ulishawahi sikia
Punguza michambo mwali, mwisho utayashika na mavi...🤓🤓Nendaa kaandamane saiz mbona waoga Sana nyie mtapigwa Kama mbwa koko
Mkuu uko barabara ipi?Huyu Mambosasa atasababisha vita kabisaa mpuuzi sana.
Mkuu hivyo avatar yako inaonyesha kabisa huwez tia mguu pale Ubungo Leo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Punguza michambo mwali, mwisho utayashika na mavi...[emoji851][emoji851]
Unasikitika nini? Unadhani hayo hayawezi kufanyika? Wanasiasa sio watu. Kama mtu alianguka akavunja mguu alafu anadai alivamiwa atashindwa kufanya uhuni wa kukodi watu kufanya vurugu?Kwamba........
Waliokuwa wanatakiwa kuandamana wametakiwa kuchoma matairi barabarani, kuchoma magari, vituo vya mafuta na masoko wameahidiwa pesa.
Pia watu wanaotumika kushawishi wanaambiwa wawatafute vijana wasio waoga, wanaotumia dawa za kulevya..🤨😲😲
Duhhhhhhh....
Nimejikuta nasikitika sana
Wanajitoa fahamu hao[emoji23][emoji23][emoji23]Unasikitika nini? Unadhani hayo hayawezi kufanyika? Wanasiasa sio watu. Kama mtu alianguka akavunja mguu alafu anadai alivamiwa atashindwa kufanya uhuni wa kukodi watu kufanya vurugu?
Akikwambia nitaggMkuu uko barabara ipi?