mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
CHADEMA hawajashindwa.
Wanyonge wanyongeni lakini HAKI ZAO WAPENI.
Hauwezi ukasema CCM imeshinda uchaguzi labda mshipa wa aibu ukatike..
Muwe na AIBU
Wanyonge wanyongeni lakini HAKI ZAO WAPENI.
Hauwezi ukasema CCM imeshinda uchaguzi labda mshipa wa aibu ukatike..
Muwe na AIBU
Vita itokee wapi? Yaani CHADEMA ikishindwa ndio vita itokee? Kwa hiyo watanzania wote mil 60 unaona hawana akili kama wewe?